Diamond Platnumz raised a MONSTER

Diamond Platnumz raised a MONSTER

Hamna kitu....bure kabisaa...yy na kaka yake wote kwa pamoja.

NB.
Nina degree 4 so jichek kabla hujaanza kunikosoa.
 
aliiba wapi wanamkuza kwa ujinga ule ule tu wa diamond kaiba nyimbo ya nani hamjui kunaruksa ya kufanya sampling
Ongea basi ueleweke.. Mbona unachanganya mambo..


Utafanyaje sampling bila ruhusa ya mwenye beat?

Ni wimbo gani wa diamond uliwai kufutwa kisa ameiba?
 
Saivi hakuna video mpya... Labda ukashoot mwezini... Kila video ukiichambua utakuta imefanana na fulani

ivi kweli eeeh ? Nipe mfano wa video kwa mfano hata moja ya wasanii wa mbele kama Jay Z iliofanana na nyimbo ya the game ? Nyie mziki mnauangaliziaga wapi ? wanatakiwa wawe creative lasivyo watarudi chin na sisi la kurudi chin hatulipend, Music unatakiwa ukue...Usiwe na mawazo mgando mkuu, mawazo hayajaisha duniani na kila binadam anaidea yake tofauti kabisa, hapa duniani everybody is unique on his/her own way na hiyo uniqueness ndio tulitakiwa kuitumia and thats what will differentiate us from others...

MKUU USIWE NA MAWAZO MGANDO, Mawazo mapya yapo mengi sana....
 
Ebu tuambie unamaana gani kusema WCB hawawezi kumzuia?

Maana yangu ni kwamba, wao si ndio Giants wa mziki Tz ? and we all know what they have been doing to KIBA, sasa katoka Kenge walomkuza nae anajua kuwinda swala kama wao, He knows all their ways ndio mana nakwambia they cant stop him..WEWE MUSIC INDUSTRY YA BONGO UNAIJUA VIZURI ??
 
Hamna kitu....bure kabisaa...yy na kaka yake wote kwa pamoja.

NB.
Nina degree 4 so jichek kabla hujaanza kunikosoa.

We Mnyachusa me dalasa la saba hatuta elewana mkuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,
 
Maana yangu ni kwamba, wao si ndio Giants wa mziki Tz ? and we all know what they have been doing to KIBA, sasa katoka Kenge walomkuza nae anajua kuwinda swala kama wao, He knows all their ways ndio mana nakwambia they cant stop him..WEWE MUSIC INDUSTRY YA BONGO UNAIJUA VIZURI ??
WCB ni label kubwa na yenye mashabiki wengi kuliko msanii yoyote so kwa akili yako harmo anaweza kumfikia hata robo ya diamond?
 
WCB ni label kubwa na yenye mashabiki wengi kuliko msanii yoyote so kwa akili yako harmo anaweza kumfikia hata robo ya diamond?

Kumbuka DEATH ROW ilishawah kuwa Record label kubwa duniani na ikawa na msanii ambaye inasemekana ndio the NUMBER ONE BEST RAPER EVER ( 2 PACE), leo hii hakuna kitu, Suge ndio huyo yupo ndani kapigwa mvua za kutosha, label kama cash money/young money wanatamba tu...Maisha huwa yanabadilika mzee, HAKUKUWAH KUWA NA REDIO KUBWA KAMA CLOUDS HAPA TZ leo Kuna hadi kina Majizzo wanatamba tu...
 
Ahahahahah

Naongea utani ila sipend manyanyaso ya Elimu sijui kwanini ? ngoja nitulie nije kusoma kitu ingine tu for fun, yan nkikaa na kina mwakyembe tunaongea tu namna ya kulima viazi huko mwakareli mambo ya madegree ameyaweka pembeni mana akianzisha tutabishana...yan duniani tusiongee nao au kuargue nao kisa hatupo level moja kielimu ? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.....
 
Naongea utani ila sipend manyanyaso ya Elimu sijui kwanini ? ngoja nitulie nije kusoma kitu ingine tu for fun, yan nkikaa na kina mwakyembe tunaongea tu namna ya kulima viazi huko mwakareli mambo ya madegree ameyaweka pembeni mana akianzisha tutabishana...yan duniani tusiongee nao au kuargue nao kisa hatupo level moja kielimu ? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.....
Ahaha.
Level mnazolingana ni kujadil mambo ya kulima viazi tu...ki layman zaid...Shukuru hata kwa hili mkuu kupata chance ya kukaa karibu na mwenye degree 4
 
Ahaha.
Level mnazolingana ni kujadil mambo ya kulima viazi tu...ki layman zaid...Shukuru hata kwa hili mkuu kupata chance ya kukaa karibu na mwenye degree 4

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nnapofanya kazi kuna Dr Mmoja ana PhD ananiambiaga, Ogopa sana mtu akiwa na PhD na hela 🤣🤣🤣🤣🤣, tuombe uzima kabla ya 2013 nikiwa hai hii kitu ntapambana niwe nayo ili nipunguze maneno kama unavyonipunguza maneno wewe mkuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom