Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,788
- 11,178
mkuu pambana maana vinginevyo utapswa kuwa mpole sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nnapofanya kazi kuna Dr Mmoja ana PhD ananiambiaga, Ogopa sana mtu akiwa na PhD na hela 🤣🤣🤣🤣🤣, tuombe uzima kabla ya 2013 nikiwa hai hii kitu ntapambana niwe nayo ili nipunguze maneno kama unavyonipunguza maneno wewe mkuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣