mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,607
- 4,902
Inasemwa kwamba jichunge sana na watu wanaokuzunguka, hivi Baba Levo ana uwezo gani wa kumsaidia Diamond kimuziki? Domo ni Muha wa Kigoma aishiye Tandale kwa Mtogole, eti kaenda US kwa kujifanya Mmasai kuvaa shuka aliyolalia bila chupi ili wamuonee hurumana kumpa tuzo. Kwa kweli dogo alichemsha kishenzi, I hope atakuwa kaipata chupi yake.