Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,141
- 21,279
Habari wakuu
Hivi Diamond Platnumz aliwaza nini kwenda huko USA, inamaana aliamini kelele za kina Baba Levo zingeweza kumpa BET kweli? Mbaya zaidi kapiga zile nguo za kimasai, aliyemshauri kamponza kweli, hazijamtoa hata kidogo ile ngao sijui aliwaza nini wadau, nilibaki nimeduwaa.
Mbona Wizikid alichill geto tu, kwani alijua kabisa hawezi kupata, hakuona umuhimu wa kwenda huko.
Hongera sana Simba ila pole sana kwani umekula za uso mbele ya Burna Boy.
Hivi Diamond Platnumz aliwaza nini kwenda huko USA, inamaana aliamini kelele za kina Baba Levo zingeweza kumpa BET kweli? Mbaya zaidi kapiga zile nguo za kimasai, aliyemshauri kamponza kweli, hazijamtoa hata kidogo ile ngao sijui aliwaza nini wadau, nilibaki nimeduwaa.
Mbona Wizikid alichill geto tu, kwani alijua kabisa hawezi kupata, hakuona umuhimu wa kwenda huko.
Hongera sana Simba ila pole sana kwani umekula za uso mbele ya Burna Boy.