Hiyo wakongwe tunaita PEKOSI
Enzi zangu napiga hiyo chini na kashat kanabana huku vifungo vya juu Navilegeza na afro langu kichwani limeng'aa
Nikizama disko demu wako nakupokonya chini nimepiga skuna
Kubali kataa hujui kuvaa, siku nyingi nilikuwa na jiuliza kuhusu hilo jana nimeprove, hujui kuvaa, cheki Jux na Kiba wanavyotupia,najua chawa wake wamo humu kumtetea niueni ila hajui kuvaa
Kubali kataa hujui kuvaa, siku nyingi nilikuwa na jiuliza kuhusu hilo jana nimeprove, hujui kuvaa, cheki Jux na Kiba wanavyotupia,najua chawa wake wamo humu kumtetea niueni ila hajui kuvaa
Wewe ni choko wa kanda ile ya kuvaa mitumba huyo diamond ni star anabuni wengine waige kutoka kwake kaangali kanye west anavyovaa mpaka kunyoa
Kaangalie maonyesho ya mitindo utaona
Diamond pigo kibao za kimbele alishavaa alipokuwa nyuma huko sasa vile pesa ipo anavaa tofauti ili iwe style mpya muangalie hata burnaboy wacha ushamba
Nimependa umetumia lugha nzuri kumuelimisha mtoa mada tofauti na wengine wanatumia lugha Kali na Zisizofaa kumshambulia mtoa mada.Nafikiri kea ujumbe wako Huu atakuelewa tofauti na hapo basi atakuwa ni mbishi by nature
Hiyo wakongwe tunaita PEKOSI
Enzi zangu napiga hiyo chini na kashat kanabana huku vifungo vya juu Navilegeza na afro langu kichwani limeng'aa
Nikizama disko demu wako nakupokonya chini nimepiga skuna
Nimependa umetumia lugha nzuri kumuelimisha mtoa mada tofauti na wengine wanatumia lugha Kali na Zisizofaa kumshambulia mtoa mada.Nafikiri kea ujumbe wako Huu atakuelewa tofauti na hapo basi atakuwa ni mbishi by nature