Ndio muda wake mwache ashine,alivyo ongea mwezi uliopita watu walizani anatengeneza kiki.Huyo ndio tabia yake kufanya vizuri.
😀
Yes! It's a Free Kick.
SawaOngera zake.
Wimbo Hallelujah wa Diamond Platnumz wapata shavu kwenye filamu ya Coming 2 America, itakayo achiwa tarehe 5 March 2021.
Source:SnS.
Yeaaaaahking kiba nyimbo yake ya mediocre ipo kwenye fast and furious 9 na hutamsikia akitafuta kiki, hail to the king.
Mzee baba umewahi kuajiriwa?Hapo ndio utaona faida ya ubunifu wako.
Hapo utakuta wimbo ni wake asilimia 100 ( wimbo, beat ).
Hapa ndio wale wanaotumikishwa na Label wanapaswa kufikiria.
Ingekuwa ni kina Rayvanny, Mbosso au Lavalava ingekuwa bila bila au kiduchu maana siyo wamiliki wa nyimbo zao.
Pfunk alizoa 100M tena baada ya kupigwa panga Kwasababu ya beat lake la Nikusaidiaje.
Sasa Laizer sidhani kama anamiliki beats, zaidi anapewa mshahara tu.
Hamna kutumikishwa na label bali unatimiza wajibu wako,kwani hata hao wanaojitoa kwenye label nao wana anzisha lebel (Harmonize,Mavocco).Mpaka unaona nao wameanzisha label manake wameona faida kwao na kwa wasanii wanao wasaini.Hapo ndio utaona faida ya ubunifu wako.
Hapo utakuta wimbo ni wake asilimia 100 ( wimbo, beat ).
Hapa ndio wale wanaotumikishwa na Label wanapaswa kufikiria.
Ingekuwa ni kina Rayvanny, Mbosso au Lavalava ingekuwa bila bila au kiduchu maana siyo wamiliki wa nyimbo zao.
Pfunk alizoa 100M tena baada ya kupigwa panga Kwasababu ya beat lake la Nikusaidiaje.
Sasa Laizer sidhani kama anamiliki beats, zaidi anapewa mshahara tu.