Hakuna binadamu anayekosa adui na hakuna binadamu anayekosa rafikiNaomba kujua nini kibaya diamond anakosea tofauti na wasanii wengine?
Nini afanye ili iwe sawa naonaga watu wanamshambulia ila sijawahi sikia mtu yeyote akisema makosa anayofanya tofauti na watu wengine
Ni kweli wengi wanomchukia ni ma looser wanaomuonea wivu kwa mafanikio aliyo nayo. Kila analofanya wanaona anawaringishia.Amefanikiwa sana. Wanaona Wivu
Nakushauri tu fanya mengine utengeneze maisha yako! Yeye keshatengeneza yake that's why sasa hivi ni gumzoKweli ila natamani kujua anachokosea tumuhukumu kwa haki
Hata mimi simjui mtu huyo!Alisikika "Petero" akiwajibu wayahudi.😝😝😝😝😝Shetani yup?
Mdomo(Sio umbile).. kuongea ongea vijembe... Uswahili mwingi.. kujitapa.. kuchukia Watanzania wenzie(wasanii)Sifa kama zipi na mdomo kivipi ebu elezea?
Kuhusu maisha yangu binafsi uwa sipendi kushauriwa chochote bila kuwa na uhitaji wa ushari sababu i know who I'm.Nakushauri tu fanya mengine utengeneze maisha yako! Yeye keshatengeneza yake that's why sasa hivi ni gumzo
Kwa kigogo ulichotaka kuamdika ni "losers"!Looser ina maana nyingine.Wahanya uri mbuyane?😝😝😝😝😝Ni kweli wengi wanomchukia ni ma looser wanaomuonea wivu kwa mafanikio aliyo nayo. Kila analofanya wanaona anawaringishia.
Kwani amekuambia ameyumba kimaisha? We mzee ni aje!!! 😳Nakushauri tu fanya mengine utengeneze maisha yako! Yeye keshatengeneza yake that's why sasa hivi ni gumzo
Icho ndo anakosea?mbona wasaniii wengine wanaachiaga nyimbo kwa kufatana kwanini kwake iwe vibayaMdomo(Sio umbile).. kuongea ongea vijembe... Uswahili mwingi.. kujitapa.. kuchukia Watanzania wenzie(wasanii)
Nitoe mfano mdogo.. last week King Kiba kaachia Ndombolo.. this week kaachia Salute... Mond kaona hapana, haiwezekani watawale anga la mziki ngoja na yeye atoe kamata!
Sasa haya yote na Mambo mengine yasiyoelezeke yanafanya watu tuwe na roho ya korosho juu yake!!
Hatuchukii mziki wake.. He is super talented.. ila ule UTANDALE unamgharimu!!
Hakujui, humjui, mada inaongelea lingine yeye analeta lingineKuhusu maisha yangu binafsi uwa sipendi kushauriwa chochote bila kuwa na uhitaji wa ushari sababu i know who I'm.
Ila ahsante bro