Diamond Platnumz amewakosea nini wanaomshambulia?

Twinawe

JF-Expert Member
Oct 3, 2016
2,363
5,108
Naomba kujua nini kibaya Diamond Platnumz anakosea tofauti na wasanii wengine?

Nini afanye ili iwe sawa naonaga watu wanamshambulia ila sijawahi sikia mtu yeyote akisema makosa anayofanya tofauti na watu wengine?
 
Sifa kama zipi na mdomo kivipi ebu elezea?
Mdomo(Sio umbile).. kuongea ongea vijembe... Uswahili mwingi.. kujitapa.. kuchukia Watanzania wenzie(wasanii)

Nitoe mfano mdogo.. last week King Kiba kaachia Ndombolo.. this week kaachia Salute... Mond kaona hapana, haiwezekani watawale anga la mziki ngoja na yeye atoe kamata!

Sasa haya yote na Mambo mengine yasiyoelezeke yanafanya watu tuwe na roho ya korosho juu yake!!

Hatuchukii mziki wake.. He is super talented.. ila ule UTANDALE unamgharimu!!
 
Mdomo(Sio umbile).. kuongea ongea vijembe... Uswahili mwingi.. kujitapa.. kuchukia Watanzania wenzie(wasanii)

Nitoe mfano mdogo.. last week King Kiba kaachia Ndombolo.. this week kaachia Salute... Mond kaona hapana, haiwezekani watawale anga la mziki ngoja na yeye atoe kamata!

Sasa haya yote na Mambo mengine yasiyoelezeke yanafanya watu tuwe na roho ya korosho juu yake!!

Hatuchukii mziki wake.. He is super talented.. ila ule UTANDALE unamgharimu!!
Icho ndo anakosea?mbona wasaniii wengine wanaachiaga nyimbo kwa kufatana kwanini kwake iwe vibaya
 
Back
Top Bottom