Diamond Platnumz ajibu shutuma ya kudaiwa Wasafi ni wanyonyaji

Sio kipimo ila kwa alicho kifanya BSS si ulikiona? Ni huruma na moyo kuwekeza kwa mtu kama Harmonize (kiuhalisia hata ww husingeweka hela yako) ,tena mtu mwenyewe aliye mwambia hajui kuimba ni Master Jay,still bado Mondi kajilipua kuweka hela yake.

Nacho kwambia leo atokee mtuu mwengine versions kama yake yy ya BSS ,Harmonize mwenyewe hawezi kuweka hela yake ndio ukweli wenyewe.
Kukataliwa na BSS sio kigezo kwamba fulani hajui muziki na hatakuja kufanikiwa. Wangapi walipoanza safari yao walikutana na vikwazo hivyo hivyo lakini hawakukata tamaa mpaka wakafanikiwa? Diamond mwenyewe unajua ni kwa kiasi gani amesota wakati anaanza safari ya muziki na alikatishwa tamaa mara ngapi?
 
Sio kipimo ila kwa alicho kifanya BSS si ulikiona? Ni huruma na moyo kuwekeza kwa mtu kama Harmonize (kiuhalisia hata ww husingeweka hela yako) ,tena mtu mwenyewe aliye mwambia hajui kuimba ni Master Jay,still bado Mondi kajilipua kuweka hela yake.

Nacho kwambia leo atokee mtuu mwengine versions kama yake yy ya BSS ,Harmonize mwenyewe hawezi kuweka hela yake ndio ukweli wenyewe.

Sahii kabisa,
Management ya wasafi inafanya KAZI na uwekezaji mkubwa Sana ndo maana mziki wao unafika mbali.

Diamond kwenda kushoot video Nigeria kwa TgOmory kwa makumi elfu ya dolali sio kwamba kina hascana hawawezi, Bali anaangalia international market.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa mkuu.
Tatizo wanaolalama wengi muziki unavyozalishwa mpaka kuwa mzuri machoni na masikioni hawajui.
Na hii ni moja kati ya biashara ngumu msanii kufanya pekeake, kuna watu wanamshangaa mondi kuwaajiri na kuwalipa Babu tale,Salam na mkuu fela...Ni kwamba anajua ili ufike mjini kama watokea kijijini ni lazima ushikwe mkono na uelekezwe njia na waliotangulia kuja mjini fastaa utafika town na ndo anachokifanya mondi.
 
Kukataliwa na BSS sio kigezo kwamba fulani hajui muziki na hatakuja kufanikiwa. Wangapi walipoanza safari yao walikutana na vikwazo hivyo hivyo lakini hawakukata tamaa mpaka wakafanikiwa? Diamond mwenyewe unajua ni kwa kiasi gani amesota wakati anaanza safari ya muziki na alikatishwa tamaa mara ngapi?
Hivi unajua Diamond mwenyewe pamoja na talent yake ila ALIMUOMBA PAPA MISIFA amsaidie baada ya THT kumwambia hajui kuimba?

Unali fahamu hili,sometimes huruma na moyo wa mtu kuweka hela yake.
 
Mkuu wakati the late Ruge akifanya haya mbona alishutumiwa sana kuwanyonya wasanii akiwepo huyu Dai?..
Hata kama alishutumiwa hilo haliondoi ukweli kuwa unapowekeza kwenye biashara lengo kuu ni kupata faida na lazima utengeneze mazingira ya kuipata hiyo faida, kumbuka kuna uwezekano wa kupoteza kila ulichowekeza kwa msanii husika(risks). Msanii anaweza kufariki wataki umeshawekeza hundreds of of millions au kuugua permanently au kuangukia kwenye madawa ya kulevya and so on and so forth, hivyo kuwekeza huwa ni kama kamari tu yaani pata potea.
So kwa yalisemwa kwa Ruge it's not an excuse ya kuzuia watu wasiwekeze kwa lengo la kupata faida na ukumbuke msanii wakisham-brand hilo hawezi kulifuta anakuwa ametengenezewa faida ya kudumu.
 
Kwahiyo Diamond anataka tuelewe kuwa Rayvan ameingia tamaa baada ya kuona mapato makubwa ya lebel akatamani hela zote ndiyo maana akajitoa?

Diamond amepanic hadi anatoa maneno yatakayosababisha hata Rayvan aanze kufunguka negative side mapema-mapema.
HAO NDO WANAOKURUPUKA NA KUSHINDWA KUELEWA ALICHOKISEMA DIAMOND. NASHINDWA KUAMINI KAMA HUJAELEWA AU UNAENDESHWA NA CHUKI AMA ROHO MBAYA
 
Kukataliwa na BSS sio kigezo kwamba fulani hajui muziki na hatakuja kufanikiwa. Wangapi walipoanza safari yao walikutana na vikwazo hivyo hivyo lakini hawakukata tamaa mpaka wakafanikiwa? Diamond mwenyewe unajua ni kwa kiasi gani amesota wakati anaanza safari ya muziki na alikatishwa tamaa mara ngapi?
Diamond alisaidiwa na papaa misifa.
Harmonize alisaidiwa na Diamond
Rayvanny alisaidiwa na Diamond

Huu ni ukweli hatuwezi kubadilisha hata kama msaada ulizaa biashara. Nikikupa dili ya kutengeneza pesa hata kama utaweka nguvu yako lakini nimekusaidia.
 
Nashauri Basata wangeweka kitengo maalum kwa ajili ya kupitia mikataba ya kati ya wasanii na lebo au wasanii na kampuni nyingine,kabla ya kuingia kandarasi.

Ni sawa na hii tume ya ushindani(FCC)ambayo inadhibiti na kupitisha mikataba inayotumiwa na Microfinaces kutoa mikopo kwa wateja au kama ambavyo benki kuu inadhibiti sheria na mikataba ya mikopo baina ya benki za kibiashara na wateja wao.

Hii itaondoa haya malalamiko baada ya mtu kuingia kwenye mikataba ndio anaanza kelele,kwa mazingira yetu wasanii wengi hawana elimu ila wana vipaji kwahio mambo mengi haya ya taratibu na sheria hawajui hasa ikizingatiwa wengi wanapoanza usanii wanakuwa hawana exposure,hawana uelewa na wana shida ya pesa hivyo ni rahisi kukubali chochote kilichopo mezani.

Haya malalamiko hayajaanza leo,tangu bongo movie walikuwa wakilaamikia wahindi,Ikaja hawa bongofleva wakamlaumu sana Ruge na wengineo,Na sasa Diamond nae ameingia kwenye lawama lakini yote haya ukiangalia ni kukosa udhibiti na uelewa mdogo wa wasanii.

Mwaka jana kama sikosei kuna msanii wa kike sijui ni Nandy au nani alilalamikia kampuni fulani sijui ilikiwa benki ile kumtumia na kumlipa malipo kiduchu.

Sasa tunawauliza nyie wasanii mnapoingia mikataba mwanzoni huwa hamuoni?kama mnaona kwanini hamkatai?Kwa hili naona Diamond yupo sahihi,kama ulikubali mikataba basi kubaliana na madhara yake pia.
Kwahio lazima kuwe na udhibiti wa hii mikataba,kama hii ni biashara basi Basata kama chombo cha serikali lazima ijue nini kimeandikwa humo na je hakikiuki sheria na taratibu za nchi?

Inawezekana pia katika hili Diamond akawa anatumia Lebo yake kujinufaisha zaidi dhidi ya wasanini wadogo kwa kisingizio kwamba amewekeza kwao,kwahio udhibiti unahitajika hapa.

BASATA wakijitia kimbelembele hao wasanii watawasaini wao.
 
Sio lazima... Lakini at least acknowledge mchango wake kwenye mafanikio yako na sio kutumia rungu la kusema umemchukua wakati hana jina na umewekeza hela kwake as if hana mchango wowote kwako.
Post 104 ujaijibu
 
Cha kushangaza mtu kama P Funk eti naye anamuita Diamond mnyonyaji.

Sielewi ni kwa nini Tanzania ukifanikiwa unachukiwa bila sababu.

Hivi wakati Diamond anatowa nyimbo ya mbagala hawa watu walikuwa wapi?

Diamond ni self made millionaire. Ukichukia uwe na sababu.
Tulipandikizwa kuchukia kila anaefanikiwa toka zamani kutokana na sera na siasa zetu.Vile tu huyu n mwenzetu aah anaendeshaje gari kali,mbona kajenga na ana biashara fulani ,tunaenda kumchomea kwa mamlaka ili afilisike tumcheke. Ndo maana sisi hatuna tabia ya kusaidiana sababu tunachukiana sana.
Na hao wakongwe mi heshima yangu kwao ilishashuka zamani,wana chuki sana na wasanii wa leo,sikiliza argument zao kweney ishu kama aina ya muziki(amapiano) kwa mfano ndo utajua unafiki wao kwa madogo.NI ROHO MBAYA TU!!
 
Hajajibu swali bado hawa jamaa wanawaibia sana wasanii ni vizuri wasanii wapate elimu na kujua vizuri haki zao. Kila label ina wekeza lakini msanii mfano akiandika nyimbo hiyo ni haki yake tofauti na uimbaji lakini hawapati haki hiyo kutokana na habari tunazipata. Vilevile producer wa beats naye anatakiwa kuwa na haki ya zile beats kama itatumia sehemu nyingine zaidi ya music mfano movies, advertising anatakiwa kuwa na % yake hapo . Kila label ina gharama laini ni lazimq kuwe na haki
Mikataba yao ikoje??tusiweke hisia kwenye hela aisee
 
Amezungumzia upande mmoja tu wa hela waliowekeza wao (500M) lakini mbona hasemi wao kama label wameingiza revenue kiasi gani kutoka kwa huyo msanii? Manake Konde alivyoondoka ndio akafunguka kwamba alikuwa anachukua 40% huku wasafi wanachukua 60%... Kwa huyu wametengeneza kiasi gani?
Ushasikia popote Mavin Records wameingiza kiasi gani na wasanii wao wamegawiwa kiasi gani??
Tatizo la sisi bwana hakuna kitu hatujui,yyani tunaongozwa na chuki tuu!
 
Back
Top Bottom