Diamond Platnumz ajaza uwanja unaoingiza watu 70,000 Sierra Leone

Mtawaongopea mandezi

Hawa WCB wanaona wabongo ni MANDEZI? Hawajui kwamba dunia ipo kiganjani? Dimondi hapa hapa bongo hata akifanya onyesho bure hawezi kujaza shamba la bibi ndio akajaze sehemu ambayo hata hawamjui?
 
Ni kweli Diamond ni msanii mkubwa sana kwasasa ila hili la kujaza uwanja ni upotoshaji mkubwa. Eco festival ni tamasha linalohusisha wanamuziki wa jumuiya ya uchumi Africa magharibi ECOWAS, hivyo kulikua na wasanii kibao kutoka nchi mbalimali wanachama. Hata mwaka jana Pantorankin alikuwepo hivyo ni umaarufu wa tamasha ndio umejaza watu.
 
The event has been tagged, ‘A night of music festivities and humour’, and will take place after two successful editions in Sierra Leone and the Gambia.
The festival serves as an exchange platform for culture and music. This year's line-up includes Slimcase (Nigeria), Diamond Platnumz (Tanzania), Sophia (the Gambia), Tay Grin (Malawi) and Jose Chameleone (Uganda). They will be joined by local artists Kindo Armani, Richie Obama, Desmond Benya, Yemata, Innocent, K Man, Famous, Arkman, KME All Stars and Star Zee as well as Ghanaians Kuami Eugene and Kidi, among others.
Well-known Nigerian comedian Basket Mouth will host the show.
The third ECOFEST is going beyond West Africa to include Uganda and Tanzania and will bring together artists from 10 African countries for the first time. The festival will also showcase Salone (Sierra Leonean) music with more than 20 local acts.
DIAMOND NDO ALIKUWA MAIN ACT OK YAANI BABA LAO KWENYE HIYO SHOW
 
DIAMOND BABA LAO ndo amerudia tena njoo na fact
Acha ushabiki ukweli ni kwamba walioweza kujaza uwanja walikua ni wakina Kanda Bongomani na imebaki historia hapa Africa. Fact soma hapa:-
Ni kweli Diamond ni msanii mkubwa sana kwasasa ila hili la kujaza uwanja ni upotoshaji mkubwa. Eco festival ni tamasha linalohusisha wanamuziki wa jumuiya ya uchumi Africa magharibi ECOWAS, hivyo kulikua na wasanii kibao kutoka nchi mbalimali wanachama. Hata mwaka jana Pantorankin alikuwepo hivyo ni umaarufu wa tamasha ndio umejaza watu.
 
Back
Top Bottom