Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Acha kuropoka mkuu, nakupa home work kajichimbie huko google, katafute data za mwaka Jana na mwaka huu alivoenda diamond alafu ujionee aibu hata kuja kuziweka data hizi humu, pia kuna utofauti wa kujaza uwanja uliopoa na kujaza uwanja uliochangamka, Diamond ndie msanii alieweka rekodi hii sierra leone kwa kufanya vitu viwili kwa mpigo 1.kujaza 2. Kuchangamsha.....hata walioandaa shoo walikiri ya kwamba hawajawahi kuona nyomi la aina ile kwenye ule uwanja.......Unataka kusema asingekuepo chibu uwanja usingejaa? Mbona mwaka Jana hakuwepo na uwanja ulijaa?
Usikaze t*ko sindano isije katikia ndani, legezeni dawa iwaingie vizuri team nyumbu yani Diamond anatuwakilisha vema wa tz lakini kuna visokokwinyo kama wewe hujivunii?? Mnakwama wapi wabongo??, kama huna pointi vua chupi kaa pembeni uende hata hapo Zambia uone wananchi wanavyotamani kuwa na msanii wa kuwawakilisha kimataifa awe hata robo ya diamond.
Diamond anapambana sana kuiwakilisha tz kimuziki maana ndie msanii pekee wa tz anafanya maajabu hata nje ya nchi. Ni kazi ambayo natamani siku moja nchi yetu ipate wasanii kama hawa watatu ili diamond na yeye apumzike madogo wateleze kwenye njia anayoitengeneza Diamond kwa sasa. Kwa sasa msanii anaeweza kumsaidia diamond kituwakilisha ni Harmonize ambae hata clouds FM wamekiri kwamba Dogo hana mpinzani katika orodha ya wasanii ambao nyimbo zao zinapigwa clouds fm