Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 36,351
- 23,758
Ndugu zangu Watanzania,
Huu ni ujumbe mzito kutoka kwa msanii maarufu kwenda kwa watanzania wanaoshabikia upinzani na kudanganywa na maneno hewa ya wasaka tonge na wachumia tumbo wa upinzani au waweza kuwaita wajasiriasiasa..
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza
Huu ni ujumbe mzito kutoka kwa msanii maarufu kwenda kwa watanzania wanaoshabikia upinzani na kudanganywa na maneno hewa ya wasaka tonge na wachumia tumbo wa upinzani au waweza kuwaita wajasiriasiasa..
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza