RubbishU HEARD 25TH AUGUST 2014 by millard_ayo_ - HulkShare
SIONGEI MEENGI
BREAKING NEWZ::😛ENZI LA WEMA NA DIAMOND TENA BAAAASI WAMEBWAGANA VIBAYA SANA SOMA HAPA ~ MDADISI BLOG
LINKS HIZO HAPO MJIONEE WENYEWE
HUYU DIAMOND NA DEM WAKE WOTE MACHIZI TU NA NYIE WAPAMBE WAKE ENDELEENI KUMPA KICHWA
Bila diamond na wema jf celebrity forum inapwaya.na huo ndio ukweli
Eeeh ndo nakusikia wewe, hata mimi kuna kipindi nilikuwa na post sana kuhusu habari zao humu kwa kudhani watu wanapenda kusikia habar zao tu, ila akina Dinazarde na wengine wakaniambia wamechoka kusikia habar za wema daily wamewakinai hawana mpya, hivyo nitafute story nyingine
Wewe unadhani kutwa ningekuwa na post habar za wema na diamond humu unafikir watu wangekuwa wanakuja kuchangia? Watachangia nini wakat kutwa upuuzi wao ni ule ule?
Kuna Story nyingi tu za mastaa mbali mbali na ma underground, na ndio maana kila siku watu wanamiminika humu kwa kuwa nina post habari mpya za mastaa mbali mbali nchini na sio wema na diamond tu, labda wewe mwenzangu mgeni, niulize mimi ndo najua na sio unakurupuka tu na kuropoka
Yaani jf celebrity forum haipiti siku bila post ya diamond na wema.jf politics forum haipiti siku bila post ya zitto kabwe.chunguza hili warumi.na post zote ni za kuwaponda.yaani tz ukipata hela na umaarufu wakati bado kijana wazee waliochoka na maisha full kukuandama
Yaani jf celebrity forum haipiti siku bila post ya diamond na wema.jf politics forum haipiti siku bila post ya zitto kabwe.chunguza hili warumi.na post zote ni za kuwaponda.yaani tz ukipata hela na umaarufu wakati bado kijana wazee waliochoka na maisha full kukuandama
Yaani jf celebrity forum haipiti siku bila post ya diamond na wema.jf politics forum haipiti siku bila post ya zitto kabwe.chunguza hili warumi.na post zote ni za kuwaponda.yaani tz ukipata hela na umaarufu wakati bado kijana wazee waliochoka na maisha full kukuandama