The Guitarist
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,428
- 4,774
mweeh! siku ya jua la utosi.!Oh dear,not yet...
Mie nazaliwa March 23,save the date.
mweeh! siku ya jua la utosi.!Oh dear,not yet...
Mie nazaliwa March 23,save the date.
Ili iweje kwa mfano??![]()
![]()
Jana tu nilikuwa central kuchukua kibali cha kumiliki silaha! Sitaki lawama mimi, shuri yenu![]()
taratibu babe utakuja kumwaga mashemeji zako ubongo

![]()
![]()
taratibu babe utakuja kumwaga mashemeji zako ubongo
![]()
![]()
![]()
Huyo ni kaka yangu kabisa.Huoni kaniita Hommie?
Au ndio tuseme from now on wewe ndiye utakayekuwa ukisimamia show za b/day party kaka zangu watulie?![]()
basi mororo!Ndio maana yake![]()
![]()
Unaweza kuingia iTunes na kuinunua right now!ya neyo imeishia wapi kwani?
Yani Mond kwa kubeba mizoga hatari sasa Hiyo collabo kama IPO lakini nayo ya kujitangazia Ni Sawa dunia ya Leo ufanye collabo na snoop Doggy ujisifie

Acha maneno weka MUZIKI!
ya neyo imeishia wapi kwani?
Eddy nimecheka sana.

![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Basi kaka endelea kusimamia kitengo chako cha party!
Mimi nitakuja na mishumaa.. Sorry shem lake
HahahahWatu hawana hela,au wewe huna hela,tokea lini umekuwa msemaji wetu......Isemee nafsi yako kuwa "huna hela"
Ndo Watanzania walivyo mkuuWatu hawana hela,au wewe huna hela,tokea lini umekuwa msemaji wetu......Isemee nafsi yako kuwa "huna hela"
Mwanamke halindwi kwa silaha.Ili iweje kwa mfano??![]()
![]()
Jana tu nilikuwa central kuchukua kibali cha kumiliki silaha! Sitaki lawama mimi, shuri yenu![]()