Diamond na Pete ya uchumba kwa Wema

Im a big fun of diamond, big up brother coz the sooner the better. Nafurahia wapendanao nawatakia mafanikio
kwa walosalia ni kioo
 
Huyu bwana mdogo bwana naona anajitafutia matatizo tu,
Huyu demu ni cha wote, na kwa anga alizopitia sina uhakika sana na uzima wake,
But kwa Diamond naona kama nae umaarufu uchwara unamlevya.
Kwanza bado naamini umaarufu wake ulikuja kwa kuchakachua ushindi wa Kili Award uliokua uende kwa Bele9 hivyo nae simkubali kwa sana wala nini, ingawa haisaidii.
Anyway, kila la kheri katika uhusiano wao.
 
Kilichobaki ni diamond angemdunga mimba kwanza, ingesaidia kumfanya atulie kidogo.
Mana wema ni kipepeo!

Kwa style hiyo ya kumegewa, hata demu akipata mimba atakua na uhakika gani kama mtoto ni wake?
Pili sina uhakika sana na umri wao kama unaendana, ingawa nayo si kigezo kikubwa.
 
Kwa style hiyo ya kumegewa, hata demu akipata mimba atakua na uhakika gani kama mtoto ni wake?
Pili sina uhakika sana na umri wao kama unaendana, ingawa nayo si kigezo kikubwa.
Umbea kwani ww umri wako unaendana na huyo bi Kizee wako,after all umri c kigezo kama ulivyojistukia,tuwaombee heri jamani na uache roho mbaya eboo!
 
Nadhani wadau wanachojaribu kuonyesha ni kuwa Diamond amshoboka mapema na Wema. Angetakiwa kuwa na mahusiano ya siri huku akijaribu kuchunguza vyanzo vya kutemwa na wasanii wenzake. Sasa mtu anaachwa asubuhi wewe unamchukua jioni kwa mbwembwe kweli? Anatakiwa awe mwangalifu hilo ndo la maana, otherwise go on girl.
Yeyote kati yetu anayedhani mpenzi/mke wake hakuwahi kunaniiliwa asimame na aseme wazi wazi kuwa aliye naye hajawahi kuf...n..wa. Imetaokea tu uko naye na pengine kunako mahala ni kubovu kama nini. Hamjui ni raha gani na dunia ya aina gani jamaa anayoifurahia anapokuwa na Wema Sepetu wake. Kila mtu na starehe yake na mtu wake anayempa raha.

Acheni wivu wakuu, waombeeni waishi maisha mazuri na wajenge familia njema. Binafsi nawafagilia kwani jamaa inaonekana analifurahia sana penzi la wema, nyie mnanuna.

Nimekumbuka verse ya Fid Q................Sisi wabongooo!
 
Wema has to work out on her body fitness otherwise she isnt attractive any more
 
Kweli ulimwengu una matabaka... cjui tabaka hilo ni lipi"? Kweli watu hawana kazi za kufanya umekosa nn kwenda kushangaa ki2 ya namna hiyo.
 
........Kwa mtu mwenye akili timamu uwezi ukafanya uharo kama huu mbele za watu,inahitaji akili za matope ili kufanya mambo kama hayo mbele za watu.
 
Back
Top Bottom