Alishindwa kuacha kipindi kaolewa na Jumbe ndio ataacha leo kwenye uchumba? Kumbuka kuwa tabia haina dawa. Tunawatakia kila la kheri.
hata kwetu wapoo ...mmmmh ! Bila shaka humu wanaochangia na malooser wamo!
hujasoma comment yangu vizuri NIMESEMA wanaofanya huwa hawasemi wanaosema hawajafanya aii capito ?Unaona ajabu sana? Unadhani haiwezekani?
Siri ya maiti aijuae mwosha mkuu!
umeona eeeh! itakuwa ndotoni labda huwezi juwa hahaha!upuuuuzi! tena usimshirikishe Mungu!
Kilichobaki ni diamond angemdunga mimba kwanza, ingesaidia kumfanya atulie kidogo.
Mana wema ni kipepeo!
Umbea kwani ww umri wako unaendana na huyo bi Kizee wako,after all umri c kigezo kama ulivyojistukia,tuwaombee heri jamani na uache roho mbaya eboo!Kwa style hiyo ya kumegewa, hata demu akipata mimba atakua na uhakika gani kama mtoto ni wake?
Pili sina uhakika sana na umri wao kama unaendana, ingawa nayo si kigezo kikubwa.
Acha majungu kaolewe wewe basi
Yeyote kati yetu anayedhani mpenzi/mke wake hakuwahi kunaniiliwa asimame na aseme wazi wazi kuwa aliye naye hajawahi kuf...n..wa. Imetaokea tu uko naye na pengine kunako mahala ni kubovu kama nini. Hamjui ni raha gani na dunia ya aina gani jamaa anayoifurahia anapokuwa na Wema Sepetu wake. Kila mtu na starehe yake na mtu wake anayempa raha.
Acheni wivu wakuu, waombeeni waishi maisha mazuri na wajenge familia njema. Binafsi nawafagilia kwani jamaa inaonekana analifurahia sana penzi la wema, nyie mnanuna.
Nimekumbuka verse ya Fid Q................Sisi wabongooo!
Jasiri haachi asili.Alishindwa kuacha kipindi kaolewa na Jumbe ndio ataacha leo kwenye uchumba? Kumbuka kuwa tabia haina dawa. Tunawatakia kila la kheri.
Kweli ulimwengu una matabaka... cjui tabaka hilo ni lipi"? Kweli watu hawana kazi za kufanya umekosa nn kwenda kushangaa ki2 ya namna hiyo.