Diamond muonee huruma Kiba

Diamond muonee huruma Kiba

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
22,164
Reaction score
43,856
Alikiba kiukweli lazima awe na stress za hali ya juu maana ameshtuka toka usingizini amekuta he is not a King anymore yaani kijana Mondi atamuua kwa stress aisee. Ingekuwa kimarekani hawa jamaa walipofika chuma kingehusika walahi.

Nilichogundua hii bifu Mondi anaitumia kimaslahi zaidi kufanikisha mipango yake kama leo alivosema Harmo na Kiba wanaweza kuwepo kwenye Wasafi Festival alijua lazima watu wajae waki expect suprise ambayo haipo.

Pia diamond ana-act innocent kwenye hili bifu lakini yote ni sababu anafanya vizuri zaidi kuliko Kiba kuanzia uchumi wake pia muziki wake huo ndio ukweli so inferiority complex inamuua Kiba haamini anachokiona. Hili jambo Harmo anaweza kumfanyia Mondi ikawa karma but sio rahisi hata kidogo.

Mfano kweny hichi kipindi cha Block 89 leo wamegawa penseli na karatasi yote hii ni kuendelea kuvuta tension yote iwe kwao. Wimbo wa harmonize UNO ushafunikwa vile wabongo wanaendeshwa na upepo wa matukio balaa!

Hili bifu linaweza likawa na mwisho mbaya kama Ali Kiba atashindwa kucontrol mihemko yake. Mondi anamtumia jamaai kupiga pesa zaidi Kiba yeye ni majungu na kiki tu.
 
huwa mnanichekeshaga sana mnapoongelea ishu za hela walizonazo wasanii kama huyu mwandishi hapa anasema diamond anamzidi kiba kwa hela hizi tafiti mnazitoa wapi maana fobers ndio wanaletaga hizi balance zawatu kwa kukadilia mali zao na vitega uchumi wanavyo miliki na nk... sasa huyu sijui anatoa wapi hz taarifa
 
Siku ukikaa na wasanii ukasimuliwa kuhusu roho mbaya ya Diamond na Babu Tale. Niamini mimi hutokua shabiki wake milele.
wenye roho za hivyo ndo hufanikiwa sababu wamekubuhu kwenye kupretend kwa wema kuliko watu wema halisi ambao hukaa kwenye kona wakinyongea kwani hawawezi kujibu ubaya wanaofanyikiwa kwa kuchelea kuonekana wabaya
 
Siku ukikaa na wasanii ukasimuliwa kuhusu roho mbaya ya Diamond na Babu Tale. Niamini mimi hutokua shabiki wake milele.
Hamnaga tajiri wa kipepo mwenye mapepo mwenye Roho nzuri, Diamond ana mafuvu ofisini kwake, hataki watu wajenge makanisani, he is a demon
 
Kiba alishaacha hata kuimba karudi baada ya kuona kuna vi bwamdogo vinajimwambafy. Kimuziki yuko vizuri tu sema sio time yake tena.
 
Binafsi sijawahi muona kiba kama King. Amshukuru sana Diamond bila yeye jina lake lingekuwa limesahaulika ubaya wenu mnafuata jina wala si muziki mzuri, mmeangusha bongo flavor yenu
 
Diamond ni mnafiki. Anajifanya anawapenda wasanii wenzake wakati anamvurugia mwenzake show yake ya bure.

Harmonize katangaza show ya bure. Siku moja kabla Diamond analeta Drama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom