BREAKING NEWSSSS::Msanii wa tanzania DIAMOND PLATNUM amechaguliwa kuwania tuzo za NIGERIAN ENTERTAINMENT AWARDS(NEA) huko nchini Nigeria katika kipengele cha BEST AFRICAN ARTIST!!!!!!!!jamani mwaka huu nitanenepa mimi wallah!
Diamond wewe ni shida,tatizo,balaa,majanga,bomu,radi,kombora!!!daaah!!nimesahau nini tena team no stress????
HABARI WANAYO!!!