Diamond kuperform Nana for the first time in South Africa

Diamond kuperform Nana for the first time in South Africa

Tangopori

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,628
Reaction score
1,290
For the first time live, Tonight
 

Attachments

  • 1434045217796.jpg
    1434045217796.jpg
    52.3 KB · Views: 1,496
BREAKING NEWSSSS::Msanii wa tanzania DIAMOND PLATNUM amechaguliwa kuwania tuzo za NIGERIAN ENTERTAINMENT AWARDS(NEA) huko nchini Nigeria katika kipengele cha BEST AFRICAN ARTIST!!!!!!!!jamani mwaka huu nitanenepa mimi wallah!

Diamond wewe ni shida,tatizo,balaa,majanga,bomu,radi,kombora!!!daaah!!nimesahau nini tena team no stress????

HABARI WANAYO!!!
 
Kijana wetu hatuna budi ya kumshukuru kuitangaza nchi yetu kisanaa afrika na sehemu nyingi duniani, amekuwa chachu ya mafanikio kwa wasanii wengine, mafanikio yake yamechochea wasanii wetu kufuata nyayo zake kama vile kwenda south africa kutoa video kwa God father japokuwa ni gharama, Pia awali wasanii wenzie nao wameanza kutumia dancers jukwaani na wengine hata kutembea na wachumba aliowaacha kitambo ilimradi tu wajaribu nyota 🙂glasses-nerdy:UTANI)

d1.png

O.K turudi kwenye maada Good news zilizofika karibu masaa machache yaliyopita ni kwamba Diamond platnumz kashachaguliwa kuwania tuzo za n.e.a(nigeria entertainment award) nchini Nigeria katika kipengere cha mwanamziki bora afrika na pia leo hii hii yatatangazwa majina ya wasanii wataochaguliwa kushindania tuzo za mtv, Jmabo zuri ni kwamba tayari diamond amechaguliwa kufanya show hapo mtv africa katika hafla hii ya kuwatangaza majina wasanii watakaoshindania tuzo za mtv jambo ambalo linaloonekana wazi kabisa kijana ataingia kwenye list ya watu watakaochaguliwa kuwania tuzo za mtv africa...........

d2.png
 
Back
Top Bottom