Mie huwa napata wasi wasi sana na akili za watanzania na hasa watu wa arusha, kitu anacho kuja kufanya JK ni kwa faida yenu na vizazi vyenu, kumsusia mtu kuna maana gani sasa? hebu watanzania tupevuke akili zetu , kwani kwenye masuala ya maendeleo huwa hakuna uhasama. Na isitoshe hao mnao wakumbatia hawajawafanyia chochote na mwisho wa siku mnarudi kwa JK kumpigia magoti awafanyie hayo myatakayo