Escardo-bird
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 622
- 225
sijui kwa vigezo vipi kawa nominated lakini kwa mara nyingine hatuja toa mshindani katika hizo tuzo,i opt AY ndo angekuwa nominee kwasababu ngoma zake ni international zaidi kuliko za huyu dogo nadhani kilicho mpeleka pale huyu ni collabo yake na Davido,
sijui kwa vigezo vipi kawa nominated lakini kwa mara nyingine hatuja toa mshindani katika hizo tuzo,i opt AY ndo angekuwa nominee kwasababu ngoma zake ni international zaidi kuliko za huyu dogo nadhani kilicho mpeleka pale huyu ni collabo yake na Davido,
Kitendo cha huyu kijana wetu kupita kwenye nominees BET 2014 kwakweli ni historia ya ajabu sanaaa kwetu Tanzania.
Haijawahi tokea.Naamini kweli mwenye nia na nguvu za kutafuta Mungu humpa bila kinyongo.
Tunasubiri hiyo JUNE 29 tushuhudie mtanange na Davido wanavutanaje.Support ya waTanzania jamani..
Haters, haters, haters!
AY vs Diamond! Unalinganisha vitu visivyokuwepo, eti tungempeleka AY, kwa wimbo upi? Diamond kawa nominated tuzo ngapi Africa this time vs huyo AY?
Achilia mbali tuzo za KTMA ambazo hata nomination AY hayumo.
Tupende ku-appreciate watu wanapofanya vizuri bana!
Hiyo hiyo collabo yake na davido ndo international au ulikua unataka aimbeje awe international and MY NUMBER ONE was of world class sana tuu, jaman tumpigieni kura Diamond kwa wingi msanii wetu na ss tupeleka tasnia ya muziki Tz to the next level.
hawezi kushinda
Hajakuchanganya,jamaa kaongea ukweli,BET awards ni ya U.S.A,na hiyo tuzo aliyotajwa Diamond siyo B.E.T awards ila M.T.V awards za Africa Kusini.So mleta mada kachemka kusema ni B.E.T awardsYour confusing me!!! All in all the dogo is talented'' I real appreciate his hard working!! Ila hapo juu tupeni taarifa zenye uhakika sio mnakimbia kimbia tu.
Acha hizo"
Kitendo cha huyu kijana wetu kupita kwenye nominees BET 2014 kwakweli ni historia ya ajabu sanaaa kwetu Tanzania.
Haijawahi tokea.Naamini kweli mwenye nia na nguvu za kutafuta Mungu humpa bila kinyongo.
Tunasubiri hiyo JUNE 29 tushuhudie mtanange na Davido wanavutanaje.Support ya waTanzania jamani..
Hiyo hiyo collabo yake na davido ndo international au ulikua unataka aimbeje awe international and MY NUMBER ONE was of world class sana tuu, jaman tumpigieni kura Diamond kwa wingi msanii wetu na ss tupeleka tasnia ya muziki Tz to the next level.
Kama AY ngoma zake ni international basi siku nyingi angeingiankwenye kinyang'anyiro hicho....tuache kufanya comparisonss..AY huwa anajaribu kutushawishi kwamba yuko international but walio huko bado hawajamuona aendelee kukaza buti tuu
Hajakuchanganya,jamaa kaongea ukweli,BET awards ni ya U.S.A,na hiyo tuzo aliyotajwa Diamond siyo B.E.T awards ila M.T.V awards za Africa Kusini.So mleta mada kachemka kusema ni B.E.T awards
sijui kwa vigezo vipi kawa nominated lakini kwa mara nyingine hatuja toa mshindani katika hizo tuzo,i opt AY ndo angekuwa nominee kwasababu ngoma zake ni international zaidi kuliko za huyu dogo nadhani kilicho mpeleka pale huyu ni collabo yake na Davido,
Hajakuchanganya,jamaa kaongea ukweli,BET awards ni ya U.S.A,na hiyo tuzo aliyotajwa Diamond siyo B.E.T awards ila M.T.V awards za Africa Kusini.So mleta mada kachemka kusema ni B.E.T awards