Hapo hapo!Mk ya kino eenh slim
Kuna kaufanano kwa kwelikuna tofauti gani na halleluya?
Youtube ndo mwisho wa yote tutaiona tuEti naskia video inapgwa Marekani tu tena kwa kulipiwa
kabando ka jero tu kana kupa tabu?...Nakuja Rapha
Ninachokumbuka... Wakati mavoko anaenda kutambulisha nyimbo yake ya [HASHTAG]#kokoro[/HASHTAG] pale radio mawingu... Diamond alikuwepo na alihojiwa mawili matatu.... Na alisema kwamba anataka kuachia international Albam.. ambayo ndani yake kuna rickrose, rihana na wengine.... Nadhani hyo ilikuwa kabla hata nyimbo ya NAY WA MITEGO... Waka waka.... Na alisema nyimbo na Rickrose. Ipo tayari... Ilikuwa bado video tu.... Ila nyimbo na rihana ndio iliyokuwa inamsumbua kutokana na kumpata huyo rihana ili wafanye kazi....Tuombe tu ney wa mitego asitufungulie kesi kwa kuiba kipande chake cha kwenye wimbo wake wa makuzi "waka waka wakawaka"
Yaani sio kwamba sitambui uwezo wake katika uimbaji ila "Diamond Hajawahi kutumia fursa vizuri na Msanii Mkubwa" anaimba kama anaimba na Asha Boko au ile minyama ya Rick Ross aliona yuko na Asha Boko?

Mkuu kitachoangaliwa hapo n nani katangulia kuregister wimbo wake ndo atakua na hati miliki sio nan alitangulia kusema na mimi kama shabiki wa mziki naangalia wimbo upi ndio nimeusikia mapema..Ninachokumbuka... Wakati mavoko anaenda kutambulisha nyimbo yake ya [HASHTAG]#kokoro[/HASHTAG] pale radio mawingu... Diamond alikuwepo na alihojiwa mawili matatu.... Na alisema kwamba anataka kuachia international Albam.. ambayo ndani yake kuna rickrose, rihana na wengine.... Nadhani hyo ilikuwa kabla hata nyimbo ya NAY WA MITEGO... Waka waka.... Na alisema nyimbo na Rickrose. Ipo tayari... Ilikuwa bado video tu.... Ila nyimbo na rihana ndio iliyokuwa inamsumbua kutokana na kumpata huyo rihana ili wafanye kazi....
SASA HAPO KWENYE KUCOPY HIYO #WAKA_WAKA CJUI PAKOJE... NANI KAANZA WANAJUA WAO WENYEWE...