Diamond ft Rick Ross "waka"

Diamond ft Rick Ross "waka"

Yaani sio kwamba sitambui uwezo wake katika uimbaji ila "Diamond Hajawahi kutumia fursa vizuri na Msanii Mkubwa" anaimba kama anaimba na Asha Boko au ile minyama ya Rick Ross aliona yuko na Asha Boko?
 
Wimbo mzuri. Akimalizia na video itapendeza zaidi. Club Banger hiyo
Yaaaah na ukisikiliza kawaida unaona simple ila ukisikilizia kwenye balanced sound system nahis inakuwa poa
 
Mimi sitaki kusema mbaya au hit ila ukweli ngoma hii hawezi kuimba live sababu sauti imefanyiwa ukarabati mkubwa na system. Sasa ngoja siku usikie anaimba live utasema mhh hii nyimbo yake au..
 
Back
Top Bottom