Diamond ft Rick Ross "waka"

Diamond ft Rick Ross "waka"

Lee

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
44,005
Reaction score
150,530
Kizuri siku zote kipewe sifa zake ,mziki mzuri kuanzia sound na touches za producer ni mpya ...
 
The black bottle boyz... ngoma kali.

Mond anaenda ndiyo hivo tena hashikiki... big up.
 
Ki ukwel naona ya kawaida labda nisikilize tena
 
Yaani sio kwamba sitambui uwezo wake katika uimbaji ila "Diamond Hajawahi kutumia fursa vizuri na Msanii Mkubwa" anaimba kama anaimba na Asha Boko au ile minyama ya Rick Ross aliona yuko na Asha Boko?
 
Yaani sio kwamba sitambui uwezo wake katika uimbaji ila "Diamond Hajawahi kutumia fursa vizuri na Msanii Mkubwa" anaimba kama anaimba na Asha Boko au ile minyama ya Rick Ross aliona yuko na Asha Boko?
Duuu kweli bongo nyoso. ..
 
Back
Top Bottom