Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,871
Naunga mkono hoja. Kama baba ananunuliwa dukani waende wakanunue shwaiin kabisaShida ya kina mama wengi unapogombana naye atajitahidi kukuweka mbali na wanao kama adhabu.Sasa sisi wanaume katika kikao chetu cha jana tumekubaliana ukiona mtalaka wako anakutenga na wanao kama adhabu basi unafunga mirija ya posho unatafuta watoto wengine.