brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Hii Ni kwa mujibu wa mzazi mwenzie aliezaa nae watoto 2 Zari Hassan maarufu Kama Zari the bosslady
Kupitia comment akimjibu shabiki Zari amesema amekuwa akilea watoto wake mwenyewe peke yake
Je kweli diamond platnumz pamoja na kusemekana ndio msanii tajiri zaidi Tanzania kweli kashindwa kuwapa malezi watoto wake?
Diamond amekuwa akiandamwa kwenye mitandao kufuatia sakata la baba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupitia comment akimjibu shabiki Zari amesema amekuwa akilea watoto wake mwenyewe peke yake
Je kweli diamond platnumz pamoja na kusemekana ndio msanii tajiri zaidi Tanzania kweli kashindwa kuwapa malezi watoto wake?
Diamond amekuwa akiandamwa kwenye mitandao kufuatia sakata la baba yake
Sent using Jamii Forums mobile app