Haya ni ya muda tu ni bora atulie aangalie mbele zaidi maana tuliwaona akina Kanda Bongoman na akina Awilo wakapita.Ningemshauri ajikite kujijenga na kuweka vitega uchumi maana kwenye hii dunia kuna kupanda na kushuka
NI KWELI...NANI ALIKUWA KAMA KANDABONGOMAN? nani ANAMKUMBUKA AWILO? JE KOFFI OLOMIDE? WOTE HAWA WAMEPITA, ITAKUJA KUWA HAWA VIJANA WANAOIBUKA SASA HIVI PENGINE VIWANGO VYAO VIKO CHINI SANA KULINGANISHA NA HAWA MAGWIJI WALIOKWISHA PITA? NINGESHAURI MUDA HUU WAUTMIE VIZURI MAANA NDIO UNAPITA HIVYO!!
Haya ni ya muda tu ni bora atulie aangalie mbele zaidi maana tuliwaona akina Kanda Bongoman na akina Awilo wakapita.Ningemshauri ajikite kujijenga na kuweka vitega uchumi maana kwenye hii dunia kuna kupanda na kushuka