Hebu soma ulichoandika kisha utuambie umeelewa nini!Hivi mnaodisi kwamba Diamond hamsaidii baba yake, mna uhakika kwamba ndo huyo kweli!!? Ama mama Diamond ameshawathibitishia!? Mama ndo anamjua baba D og pengine alikuwa kaka yake, na mnaemjua wakampakazia tu.. japo
Siungi mtu mkono kutomsaidia mzazi wake lakin mzazi mwenyewe ujue hajiamini badala ya kumface mwanae yeye anafata vyombo vya habari sio kutafuta kiki huko!!?
Hivi angetoa kwenye shule moja kwa moja isingekuwa na maana mpaka ayapeleke kwa makonda hapa hakuna msaadaNimeipenda hiyo. Hao ndo wazalendo, sema kuna washamba wa mwendokasi hapo napo hawatachelewa kuleta mambo ya team, mara ooh yeye mwenyewe alifadhiliwa, mara oooh kwani yana thamani gani, rubbish. Keep it up bwana mdogo
Baba yake alimsaidia ?! .......haki na wajibu.Amsaidie na Baba yake!
Tatizo hakuna nguo za kitanzania. Haya manguo tunayovaa ni ya kizungu.Nampongeza Diamond kwa moyo wake wa kujitolea. Lakini ingependeza kama Diamond angevaa mavai ya Kitanzania mfano mgololi wa Kimasai badala ya hayo mavazi ya Kinageria. Natambua mavazi is a personal choice lakini kwa muda nimekuwa nahisi Diamond pamoja na mafanikio makubwa kwenye sanaa ya muziki ana mapungufu kwenye elimu. Kuna kipindi alikuwa amauita mtoto wake Tifa Dangote! Kwa haraka haraka utajiuliza inakuwaje mwanaume anampa mtoto wake jina la mwanaume mwingine? Au Dangote anamlipa kwa kutangaza 'brand yake' kupitia kwa mwanae?
Sasa leo anajitokeza na minguo ya Nigeria. Shida ni nini?
Safi sana kijana u grow upKupitia kipindi cha #FNL kinachorushwa na EATV siku ya Ijumaa, msanii Diamond Platinumz aliahidi kuna tukio kubwa atafanya siku ya J'tatu. Na leo hii ametimiza ahadi hiyo baada ya kumkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, mchango wa madawati 600.
Kama mtanzania mzalendo, tupia neno moja la pongezi kwake
swali zurikwanini baba yake hakumsaidia yeye alipokuwa mdogo?
we diamond mbona kigoma hutatuletea hata dawati moja. au nawe unatafuta ukuu wa wilaya?Kupitia kipindi cha #FNL kinachorushwa na EATV siku ya Ijumaa, msanii Diamond Platinumz aliahidi kuna tukio kubwa atafanya siku ya J'tatu. Na leo hii ametimiza ahadi hiyo baada ya kumkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, mchango wa madawati 600.
Kama mtanzania mzalendo, tupia neno moja la pongezi kwake
kwann ww usimsaidie ? ww si mtz mwenzako ?Haijalishi..... na hana cha kuigwa... kama anaamini Mungu makosa aliyofanya yeye duniani hastahili hata kukanyaga ardhi anayoiamini ni ya mungu wake... hivi Uislam hauna kusamehe? Kuna Rafiki yangu babake aliwatelekeza baada ya kumuacha mama yao akaoa mwingine familia ilipigika sana watoto wa kishua walifikia kuuza ndizi kwenye sinia kichwani kuzunguka jiji hadi maisha yakatulia wakawa juu... baba yao maisha naye yakampiga aliumwa sana habari zikafika kwa watoto wake hawakusita kumsapoti dingi yao akapona japo hawaishi wote ila wanampiga tafu kimaisha....
Sasa huyu dogo mpenda sifa anayofanya ni uozo tu...
Umeona nalazimisha sehemu? au hujui kusoma maoni? nilichoandika kipo wazi kuwa hajui kusamehe? na kama hajui hana cha kuigwa... naona watu mshaanza kuadopt tabia kama za raisi wenu mpya... hamshauriki... kila kitu mnajifanya mwakijua na maamuzi yake... be careful unapojaribu kunichallenge for no reasons
Baba ni Baba itabidi uelewe aliomrubuni mama yako Akakubali kuzini ukazaliwa wewe siyo wa kushindana naye.Baba yake alimsaidia ?! .......haki na wajibu.
Huyo babake ye alimsaidia nini Diamond?
Na umejuaje hamsaidii?
Mil 30 tu. Siyo hela nyingi kivile ila si unajua tena wabongo kwa kushadadia ishu. Hapo watampambaaa weee utadhani kafanya ishu kuubwaaa