Diamond amkabidhi Makonda madawati 600 kwa ajili ya shule za jijini Dar es Salaam

Kupitia kipindi cha ‪#‎FNL‬ kinachorushwa na EATV siku ya Ijumaa, msanii Diamond Platinumz aliahidi kuna tukio kubwa atafanya siku ya J'tatu. Na leo hii ametimiza ahadi hiyo baada ya kumkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, mchango wa madawati 600.

Kama mtanzania mzalendo, tupia neno moja la pongezi kwake


Yana thamani gani?
 
Kupitia kipindi cha ‪#‎FNL‬ kinachorushwa na EATV siku ya Ijumaa, msanii Diamond Platinumz aliahidi kuna tukio kubwa atafanya siku ya J'tatu. Na leo hii ametimiza ahadi hiyo baada ya kumkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, mchango wa madawati 600.

Kama mtanzania mzalendo, tupia neno moja la pongezi kwake



Yana thamani gani?
Piga hesabu
 
Kupitia kipindi cha ‪#‎FNL‬ kinachorushwa na EATV siku ya Ijumaa, msanii Diamond Platinumz aliahidi kuna tukio kubwa atafanya siku ya J'tatu. Na leo hii ametimiza ahadi hiyo baada ya kumkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, mchango wa madawati 600.

Kama mtanzania mzalendo, tupia neno moja la pongezi kwake


Big up daimond. Wewe ni mfano wa kuigwa japo ni kutafuta kiki lakini kuna faida kwa wengine pia
 
Back
Top Bottom