Diamond ‘amkaanga’ Dk. Kigwangalla

Diamond ‘amkaanga’ Dk. Kigwangalla

WIZARA YA Utalii na Taasisi Zake hawana nia ya Dhati ya kutangaza Vivutio vyetu!

Zaidi ya kung'ang'ania idea ambazo zina hazina Mashiko...

Nimeshawahi kwenda Wizarani pale mpaka Bodi ya Utalii...

Nikiwa na idea nzuri Sana ya namna ya Kutangaza Vivutio vyetu nje ya nchi... Nikiwa na Wadhamini wangu mkononi, nikihitaji tu Barua ya Utamburisho....

Hizo njoo Kesho, Marketing officer kasafiri, Njoo week ijayo Sijui nani hayupo.... Just kupewa barua tu ya kutambua Non profit project yangu... Mpaka nikachoka....!

Now ni miaka 4 imepita.....
 
hii wizara kana vipi iwekwe chini ya ofisi ya raisi au waziri mkuu labda mambo yatakaa sawa, , hivi kwenye gawio taasisi zake pamoja na mashirika vilichangia kiasi gani?
 
Wao wanaskiliza idea za s. Nyerere
Za kuwapelekea misambwanda

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni shida Mkuu!
Huwezi kuamini niliandika Idea ya ku promote Vivutio vyetu nilipopata nafasi ya kupanda Mt. Kilimanjaro, baada ya kushuka nikaandika Proposal nikaanza kuwapelekea Makampuni tofauti, kila Kampuni ntayoenda Nikiwapa Proposal wanasema Yes.... Hii Ndo idea Tuta support....

Kila Kampuni nikienda wanasema That's it.... Anytime ukiwa tayari tuambie....

Ndo Nikasema ngoja niende Wizarani nikapate Baraka...

Hizo njoo Kesho zikanichosha utadhani ndo nilitaka wao watoe Pesa.... Kumbe nilihitaji barua tu toka kwao.
 
WIZARA YA Utalii na Taasisi Zake hawana nia ya Dhati ya kutangaza Vivutio vyetu!

Zaidi ya kung'ang'ania idea ambazo zina hazina Mashiko...

Nimeshawahi kwenda Wizarani pale mpaka Bodi ya Utalii...

Nikiwa na idea nzuri Sana ya namna ya Kutangaza Vivutio vyetu nje ya nchi... Nikiwa na Wadhamini wangu mkononi, nikihitaji tu Barua ya Utamburisho....

Hizo njoo Kesho, Marketing officer kasafiri, Njoo week ijayo Sijui nani hayupo.... Just kupewa barua tu ya kutambua Non profit project yangu... Mpaka nikachoka....!

Now ni miaka 4 imepita.....
Mkuu nimekuelewa sana, haya mambo yanasikitisha sana na kukatisha tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakajifunze Kenya wanavyo deal na mambo ya utalii!
Sasa unawaita bongo movie wasanii wanao vaa pichu kubw sjui bngo fleva... Ujing Ujing tu

Hpo kna dem lnye msambwanda mkbw kna mtu alikuwa anamvizia ale naye pipi tu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Jiulize sasa ni mzungu gani atapanda mlima kilimanjaro kwa kumuona Stive Nyerere akipanda.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimuona sasaa anavyojikutaga nomaa kama jambazi kuu wa movie ya kihindi 😂😂😂 kigwangala bwanaa.
 
Hili gazeti linamuandama sana Mh.Kigwa... itabidii ajitokeze ajibu hizi tuhuma maana akibaki kimya itaonekana ni kweli.
Nadhani kawafungulia kesi sijui imefikia wapi
 

Attachments

  • IMG_20200115_230731_490.jpg
    IMG_20200115_230731_490.jpg
    62.4 KB · Views: 9
Jamaa linajifanyaga Lipo Smart Sana, Juaji na Lipenda Sifa Kinoma..
 
Back
Top Bottom