Diamond ‘amkaanga’ Dk. Kigwangalla

Diamond ‘amkaanga’ Dk. Kigwangalla

Huyo Kingangwala ni mtu wa mademo...Flabian Matata ni ngoma yake na ndio maana kila mwaka anampa fursa kutembea mbugani.
Anatumia vibaya madaraka yake.


Sent from my iPad using JamiiForums

Acha ujinga. Flaviana Matata ni mke wa mtu!
 
hao wasanii wameshindwa kutangaza movie zao wataweza kweli kutangaza utalii halafu huyu Mrisho Mpoto anajifanya mzalendo kumbe fisadi mkubwa kwanza hana uzalendo aliwahi kuiwakilisha kenya ufaransa kama mkenya kwa sababu wakenya hawakuwa na mtu anayeweza kuzungumza kiswahili vizuri halafu anaoneka ikulu mbele ya rais anahubiri uzalendo
Hahaha hakunaga wasanii wabongo ambao ni wazalendo ..wote ni opportunist

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maujinga ujinga tu. Eti wasanii wanatangaza utalii. Hizi projects za Kigwangala ni za kipuuzi sana na ni ubadhirifu wa fedha za umma.
Waziri anayesimama kwenye geti la wizara ya afya kukamata wafanyakazi wachelewaji unafikiri ana strategies gani za maana za kukuza utalii?

Jamaa namwonaga ni immature halafu pretentious hivi.
Hiki alichofanya ni ubadhirifu wa wazi wazi na hii inatokana ulimbukeni,ushamba na ulafi tu. Waziri mzima unahangaika na third-rate actors and musicians plus waandishi wa caliber ya Millard Ayo, wa nini?
Nchi itaendelea kuwa nyuma kwa miaka mingi sana. Viongozi hawana vision,ni kutafuta misifa na kula tu.

Anapenda sana kumuiga January Makamba. Ila Makamba ni level zingine.
 
Hahaha
Mwacheni mwamba atafune keki ya taifa, ndio wakati wake huu. Af tusijisahaulishe kwamba Maliasili na Utalii ni mojawapo ya Wizara ngumu sana hata kwa kasisi.

Wizara ambayo Accounts zake zinasoma kwa $$$$$ tu unafanya masihara nn! Picha linaanza jamaa anaishi kwenye VX-R

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kigwangala siku nilipogundua akili ndogo,nilikua muhimbili nasubili Dr afike kulingana na clinic yangu ilivokua,sasa ghafla kigwangala anatokea emergency area ndipo nilipoazia kumwona kutokea ICU ,kuna nesi moja alikua mweupe simnene ila anawembamba mzuri kama 5 kuelekea 6,yule nesi kambana kigwangala (waziri) huyu ,sitaki nimalizie naamini ashakula mzigo au kuharibu ndoa yayule nesi...jamaa kavaa jeans kabana file kwapani nadhani likikua na taarifa zauvunjifu wamkono kumbukeni ajali....kuazia ile siku nilijua jamaa anatatizo kichwani,ilikua MOI muhimbili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha.... Saivi nshamuelewa kigwa kumbe nje ya box maana yake ni kuiba.
 
Ni suala la muda tu.Magufuli anawalia timing tu kwasababu bado anawahitaji kwenye uchaguzi unaokuja.baada ya uchaguzi atawafumua wote.ile wizara inahitaji mtu mwenye akili za kuiongoza ili ilete matokea yanayotakiwa.lakini the system is corrupt na wanaopaswa kuteuliwa ni walewale ambao wamekuwa kwenye system kwa miaka yote na ambao hawajaweza kubadilisha chochote zaidi ya kubadilisha wizara tu.makatibu wakuu wa wizara ndio watendaji lakini nao wamekuwa kama mawaziri.na hata wanao jaribu kubalisha mambo wanapatwa na upinzani mkubwa sana mpaka wanaamua kutulia.Ila Magu knows this.Ana kazi kubwa sana kubadilisha mambo na upinzani mkubwa sana kutoka kwa wasaidizi wake.Mungu amwongoze kwakweli
 
Ah ah huyu jamaa janja janja sana kigwangala halafu anajikuta albert einstein, anod swaziniga, mandela, amber rutty anajikuta rihana jay z maakili mengi
Mwenyewe anandoto ya kuwa rais na kiyabu chake kakiita KIGWANOMICS NACHEKAGA.
 
WIZARA YA Utalii na Taasisi Zake hawana nia ya Dhati ya kutangaza Vivutio vyetu!

Zaidi ya kung'ang'ania idea ambazo zina hazina Mashiko...

Nimeshawahi kwenda Wizarani pale mpaka Bodi ya Utalii...

Nikiwa na idea nzuri Sana ya namna ya Kutangaza Vivutio vyetu nje ya nchi... Nikiwa na Wadhamini wangu mkononi, nikihitaji tu Barua ya Utamburisho....

Hizo njoo Kesho, Marketing officer kasafiri, Njoo week ijayo Sijui nani hayupo.... Just kupewa barua tu ya kutambua Non profit project yangu... Mpaka nikachoka....!

Now ni miaka 4 imepita.....
Pole sana,wizarani na idara za serikali kuna vikwanzo sana.
 
Back
Top Bottom