Hahahaa! ila nimesema imekua "rahisi" sikusema imekua "bure" kama ungeuliza,zamani ilikua "ghali?" hapo kungekua japo na maana ya swali lako.Zamani mlikuwa mnalipia?



mzee ume leta uzi afu ume kimbia na kuutelekeza uzi wako ulicho andika apa ni pumba kama sio mashudu kabisa hao maahabiki ni mashabiki wapi si useme tu kua ni mtazamo wakoKwema ndugu zangu wana jf
Ikiwa ni siku mbili tangu msanii nasibu Abdul almaarufu diamond platnums kuachia wimbo wake unaitwa The one ambao unafanya vizuri Sana ndani ya siku moja umefikisha viewers millions na bado unazidi kutazamwa zaidi.
Lakini ndani ya wimbo huu kuna baadhi ya mistari imepokewa na kutafsiriwa toffauti na mashabiki wakihihusisha na kisa na kifo cha msanii mkongwe wa bongo movie The Great Steven Kanumba.
Baadhi ya mistari hiyo ni Kama ifuatavyo
Nisije kufa kwa mapresha,
Ufungwe,
Iwe kesi.
Hapa inaonesha namna kumbe kilichosababisha ugomvi wa Kanumba na lulu ni usaliti katika mapenzi ambao ulipelekea kifo cha msanii huyo. Baada ya hapo kilichofuata kesi ilimwangukia lulu ambae alifungwa kwa kuuwa bila kukusudia na kwa sasa yuko huru.
Hoja ya mashabiki ni kwamba diamond amemdhihaki Kanumba kwa kueleza kwamba kumbe jamaa alisalitiwa ndio maana alifariki.
Sijui wana bodi mna mtazamo gani kuhusu hili...
RubbishKwema ndugu zangu wana jf
Ikiwa ni siku mbili tangu msanii nasibu Abdul almaarufu diamond platnums kuachia wimbo wake unaitwa The one ambao unafanya vizuri Sana ndani ya siku moja umefikisha viewers millions na bado unazidi kutazamwa zaidi.
Lakini ndani ya wimbo huu kuna baadhi ya mistari imepokewa na kutafsiriwa toffauti na mashabiki wakihihusisha na kisa na kifo cha msanii mkongwe wa bongo movie The Great Steven Kanumba.
Baadhi ya mistari hiyo ni Kama ifuatavyo
Nisije kufa kwa mapresha,
Ufungwe,
Iwe kesi.
Hapa inaonesha namna kumbe kilichosababisha ugomvi wa Kanumba na lulu ni usaliti katika mapenzi ambao ulipelekea kifo cha msanii huyo. Baada ya hapo kilichofuata kesi ilimwangukia lulu ambae alifungwa kwa kuuwa bila kukusudia na kwa sasa yuko huru.
Hoja ya mashabiki ni kwamba diamond amemdhihaki Kanumba kwa kueleza kwamba kumbe jamaa alisalitiwa ndio maana alifariki.
Sijui wana bodi mna mtazamo gani kuhusu hili...
Kwahiyo hapo inatosha kusema kwamba simba amemdhihaki marehemu Kanumba?Kwema ndugu zangu wana jf
Ikiwa ni siku mbili tangu msanii nasibu Abdul almaarufu diamond platnums kuachia wimbo wake unaitwa The one ambao unafanya vizuri Sana ndani ya siku moja umefikisha viewers millions na bado unazidi kutazamwa zaidi.
Lakini ndani ya wimbo huu kuna baadhi ya mistari imepokewa na kutafsiriwa toffauti na mashabiki wakihihusisha na kisa na kifo cha msanii mkongwe wa bongo movie The Great Steven Kanumba.
Baadhi ya mistari hiyo ni Kama ifuatavyo
Nisije kufa kwa mapresha,
Ufungwe,
Iwe kesi.
Hapa inaonesha namna kumbe kilichosababisha ugomvi wa Kanumba na lulu ni usaliti katika mapenzi ambao ulipelekea kifo cha msanii huyo. Baada ya hapo kilichofuata kesi ilimwangukia lulu ambae alifungwa kwa kuuwa bila kukusudia na kwa sasa yuko huru.
Hoja ya mashabiki ni kwamba diamond amemdhihaki Kanumba kwa kueleza kwamba kumbe jamaa alisalitiwa ndio maana alifariki.
Sijui wana bodi mna mtazamo gani kuhusu hili...