Diamond amdhihaki marehemu Kanumba

Diamond amdhihaki marehemu Kanumba

Mnapata wapi muda wa kufatilia hizi takataka?
 
Mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.... !!!! Umbea tu
 
Mpeleke Mahakani akastakiwe aiwezekani amdhiaki marehemu afungwe kabisa .
"Alisikika mlevi mmoja akichangia mada"
 
Tutamfungia kuimba kwa muda usiojulikana. akhsante kwa taarifa
 
Kwema ndugu zangu wana jf


Ikiwa ni siku mbili tangu msanii nasibu Abdul almaarufu diamond platnums kuachia wimbo wake unaitwa The one ambao unafanya vizuri Sana ndani ya siku moja umefikisha viewers millions na bado unazidi kutazamwa zaidi.
Lakini ndani ya wimbo huu kuna baadhi ya mistari imepokewa na kutafsiriwa toffauti na mashabiki wakihihusisha na kisa na kifo cha msanii mkongwe wa bongo movie The Great Steven Kanumba.
Baadhi ya mistari hiyo ni Kama ifuatavyo

Nisije kufa kwa mapresha,
Ufungwe,
Iwe kesi.

Hapa inaonesha namna kumbe kilichosababisha ugomvi wa Kanumba na lulu ni usaliti katika mapenzi ambao ulipelekea kifo cha msanii huyo. Baada ya hapo kilichofuata kesi ilimwangukia lulu ambae alifungwa kwa kuuwa bila kukusudia na kwa sasa yuko huru.
Hoja ya mashabiki ni kwamba diamond amemdhihaki Kanumba kwa kueleza kwamba kumbe jamaa alisalitiwa ndio maana alifariki.
Sijui wana bodi mna mtazamo gani kuhusu hili...
mzee ume leta uzi afu ume kimbia na kuutelekeza uzi wako ulicho andika apa ni pumba kama sio mashudu kabisa hao maahabiki ni mashabiki wapi si useme tu kua ni mtazamo wako
 
Kuna umri ukifikisha unaona kama Diamond ni mpuuzi fulani na anaimba nyimbo za kipuuzi sana na ngono ngono tu (japo anatengeneza pesa sana toka kwa wapenzi wake ambao ni wapuuzi puuzi na wapenda ngono ngono
 
Kwema ndugu zangu wana jf


Ikiwa ni siku mbili tangu msanii nasibu Abdul almaarufu diamond platnums kuachia wimbo wake unaitwa The one ambao unafanya vizuri Sana ndani ya siku moja umefikisha viewers millions na bado unazidi kutazamwa zaidi.
Lakini ndani ya wimbo huu kuna baadhi ya mistari imepokewa na kutafsiriwa toffauti na mashabiki wakihihusisha na kisa na kifo cha msanii mkongwe wa bongo movie The Great Steven Kanumba.
Baadhi ya mistari hiyo ni Kama ifuatavyo

Nisije kufa kwa mapresha,
Ufungwe,
Iwe kesi.

Hapa inaonesha namna kumbe kilichosababisha ugomvi wa Kanumba na lulu ni usaliti katika mapenzi ambao ulipelekea kifo cha msanii huyo. Baada ya hapo kilichofuata kesi ilimwangukia lulu ambae alifungwa kwa kuuwa bila kukusudia na kwa sasa yuko huru.
Hoja ya mashabiki ni kwamba diamond amemdhihaki Kanumba kwa kueleza kwamba kumbe jamaa alisalitiwa ndio maana alifariki.
Sijui wana bodi mna mtazamo gani kuhusu hili...
Rubbish
 
Kwema ndugu zangu wana jf


Ikiwa ni siku mbili tangu msanii nasibu Abdul almaarufu diamond platnums kuachia wimbo wake unaitwa The one ambao unafanya vizuri Sana ndani ya siku moja umefikisha viewers millions na bado unazidi kutazamwa zaidi.
Lakini ndani ya wimbo huu kuna baadhi ya mistari imepokewa na kutafsiriwa toffauti na mashabiki wakihihusisha na kisa na kifo cha msanii mkongwe wa bongo movie The Great Steven Kanumba.
Baadhi ya mistari hiyo ni Kama ifuatavyo

Nisije kufa kwa mapresha,
Ufungwe,
Iwe kesi.

Hapa inaonesha namna kumbe kilichosababisha ugomvi wa Kanumba na lulu ni usaliti katika mapenzi ambao ulipelekea kifo cha msanii huyo. Baada ya hapo kilichofuata kesi ilimwangukia lulu ambae alifungwa kwa kuuwa bila kukusudia na kwa sasa yuko huru.
Hoja ya mashabiki ni kwamba diamond amemdhihaki Kanumba kwa kueleza kwamba kumbe jamaa alisalitiwa ndio maana alifariki.
Sijui wana bodi mna mtazamo gani kuhusu hili...
Kwahiyo hapo inatosha kusema kwamba simba amemdhihaki marehemu Kanumba?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom