Diamond amdhihaki marehemu Kanumba

Diamond amdhihaki marehemu Kanumba

shebination

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
392
Reaction score
719
Kwema ndugu zangu wana jf


Ikiwa ni siku mbili tangu msanii nasibu Abdul almaarufu diamond platnums kuachia wimbo wake unaitwa The one ambao unafanya vizuri Sana ndani ya siku moja umefikisha viewers millions na bado unazidi kutazamwa zaidi.
Lakini ndani ya wimbo huu kuna baadhi ya mistari imepokewa na kutafsiriwa toffauti na mashabiki wakihihusisha na kisa na kifo cha msanii mkongwe wa bongo movie The Great Steven Kanumba.
Baadhi ya mistari hiyo ni Kama ifuatavyo

Nisije kufa kwa mapresha,
Ufungwe,
Iwe kesi.

Hapa inaonesha namna kumbe kilichosababisha ugomvi wa Kanumba na lulu ni usaliti katika mapenzi ambao ulipelekea kifo cha msanii huyo. Baada ya hapo kilichofuata kesi ilimwangukia lulu ambae alifungwa kwa kuuwa bila kukusudia na kwa sasa yuko huru.
Hoja ya mashabiki ni kwamba diamond amemdhihaki Kanumba kwa kueleza kwamba kumbe jamaa alisalitiwa ndio maana alifariki.
Sijui wana bodi mna mtazamo gani kuhusu hili...
 
Siku hizi imekua ni rahisi sana kuanzisha thread JF..!!
Kabla sijafungua account Jf nilikuwa napita nasoma tu mabandiko kama guest, nlikuwa napita sana jukwaa la jamii intelligence na la siasa nikaona inabidi uwe competent kwelikweli kuanzisha thread huku Jf lakini kadri muda unavyozidi kwenda naona kinyume!
 
Na wewe unajiita mchambuzi wa mashairi
Kwema ndugu zangu wana jf


Ikiwa ni siku mbili tangu msanii nasibu Abdul almaarufu diamond platnums kuachia wimbo wake unaitwa The one ambao unafanya vizuri Sana ndani ya siku moja umefikisha viewers millions na bado unazidi kutazamwa zaidi.
Lakini ndani ya wimbo huu kuna baadhi ya mistari imepokewa na kutafsiriwa toffauti na mashabiki wakihihusisha na kisa na kifo cha msanii mkongwe wa bongo movie The Great Steven Kanumba.
Baadhi ya mistari hiyo ni Kama ifuatavyo

Nisije kufa kwa mapresha,
Ufungwe,
Iwe kesi.

Hapa inaonesha namna kumbe kilichosababisha ugomvi wa Kanumba na lulu ni usaliti katika mapenzi ambao ulipelekea kifo cha msanii huyo. Baada ya hapo kilichofuata kesi ilimwangukia lulu ambae alifungwa kwa kuuwa bila kukusudia na kwa sasa yuko huru.
Hoja ya mashabiki ni kwamba diamond amemdhihaki Kanumba kwa kueleza kwamba kumbe jamaa alisalitiwa ndio maana alifariki.
Sijui wana bodi mna mtazamo gani kuhusu hili...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom