carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,718
Kwani diamond ndo anawavua nguo..Unapendezwa au kufurahi kuona matako na matiti ya mwanamke hadharani? Kumbuka ndo alokuzaa.acha mawazo ya karne ya 5 .ni lazima tutetee maadili yetu ipasavyo
Kila mtu anavua kwa matakwa yake hakuna aliye lazinishwa...
Na matako ya gigy money hayawezi kuzuia ujenzi wa viwanda