Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 3,116
- 4,343
We fala nini kama wewe unamchukulia gigy mamaako endelea tu.Hii ni akili ya nzi.kila mwanamke mchukulie kama mama yako na anastahili heshima zote na kudhaminiwa
We fala nini kama wewe unamchukulia gigy mamaako endelea tu.Hii ni akili ya nzi.kila mwanamke mchukulie kama mama yako na anastahili heshima zote na kudhaminiwa
Na wanaume wa fanyaje? Kamshauri Idri sultan kwanzaNawe unasapoti ujinga.ebu tukue hata kidogo basi.ni lazima wanawake waheshimiwe na utu wao utunze.
Nimesema sio diamond tu,ni kila msanii anaenda kinyume na maadili ya kitanzania.ni wajinga na hawajielewi.ni bora wafate maadili.kwani asipkaa uchi kazi zake haziuziki??stupid peopleNa wanaume wa fanyaje? Kamshauri Idri sultan kwanza
Hivi kati ya Giggy Money na Bushmens & womens wa Kalhari Namibia nani wanakaa uchi,?Unapendezwa au kufurahi kuona matako na matiti ya mwanamke hadharani? Kumbuka ndo alokuzaa.acha mawazo ya karne ya 5 .ni lazima tutetee maadili yetu ipasavyo
Huwezi kulazimisha watu wafate maadili unayotaka wewe. Ingekua wamekulazimisha kuangalia kazi zao sawa ila hujalazimishwa umeangalia mwenyewe.Nimesema sio diamond tu,ni kila msanii anaenda kinyume na maadili ya kitanzania.ni wajinga na hawajielewi.ni bora wafate maadili.kwani asipkaa uchi kazi zake haziuziki??stupid people
Ungejua hayo kwanza toka katika mitandao ya kijamii,usitazame TV wala kushiriki chochote cha tecknolojia. Hutaona hayoNimesema sio diamond tu,ni kila msanii anaenda kinyume na maadili ya kitanzania.ni wajinga na hawajielewi.ni bora wafate maadili.kwani asipkaa uchi kazi zake haziuziki??stupid people
lHello floks.naandika Uzi huu nikiwa na hasira sana juu ya kuporomoka kwa maadili hapa Tz.wasanii kama diamond,alikiba,wenye mambo ya kihuni huni kama wema sepetu,gigy,na mavideo vixing wengine ni lazima wachukuliwe hatua kali kama hizo.Tulitegemea wasanii wakubwa waweze kutusaidia kushape nchi lakini utakuta wao ndo wakwanza kuharibu maadili ya kitanzania.
Diamond kufanya collabo na watu wa marekani kusikyfanye ukengeuke,mnakaa uchi kwenye video zenu,mnadhalilisha wanawake.utakuta mwanamke yuko uchi wa mnyama na matako bandia!!why ,for what??.mdogo angu mond you have to change otherwise you will be in trouble.
Mimi ningependekeza hatua zifuatazo zichukuliwe
1) Waitwe wote waonywe na wasaini kiapo cha kutokurudia huu ujinga na udhalimu wa maadili.
2)Wafutiwe leseni zao za biashara kabisa, bora wakalime
3) Akaunti zao za instagram,facebook,twiter nk ZIFUTWE PERMANENTLY.
4)WAFUKUZWE NCHI ILI WAKAFANYE UHUNI WAO HUKO WAENDAKO.
Kwani hao ‘ wanawake’ unaowasemea walishikiwa bunduki kwenda kukaa matako wazi katika hizo nyimbo?! Hizo ni fursa za watu kupiga mtonyo, we umekalia kelele tuHello floks.naandika Uzi huu nikiwa na hasira sana juu ya kuporomoka kwa maadili hapa Tz.wasanii kama diamond,alikiba,wenye mambo ya kihuni huni kama wema sepetu,gigy,na mavideo vixing wengine ni lazima wachukuliwe hatua kali kama hizo.Tulitegemea wasanii wakubwa waweze kutusaidia kushape nchi lakini utakuta wao ndo wakwanza kuharibu maadili ya kitanzania.
Diamond kufanya collabo na watu wa marekani kusikyfanye ukengeuke,mnakaa uchi kwenye video zenu,mnadhalilisha wanawake.utakuta mwanamke yuko uchi wa mnyama na matako bandia!!why ,for what??.mdogo angu mond you have to change otherwise you will be in trouble.
Mimi ningependekeza hatua zifuatazo zichukuliwe
1) Waitwe wote waonywe na wasaini kiapo cha kutokurudia huu ujinga na udhalimu wa maadili.
2)Wafutiwe leseni zao za biashara kabisa, bora wakalime
3) Akaunti zao za instagram,facebook,twiter nk ZIFUTWE PERMANENTLY.
4)WAFUKUZWE NCHI ILI WAKAFANYE UHUNI WAO HUKO WAENDAKO.
Na je,wao nao wanajichukulia kama mama zetu?! Ukitafakari hvyo nafikiri utapata jibuHii ni akili ya nzi.kila mwanamke mchukulie kama mama yako na anastahili heshima zote na kudhaminiwa