Diallo amlipua Lowassa

hivi lowassa ameshaanguka mara ngapi jukwaani?majizi mkija kuacha kulumbana mtaikuta chadema ikulu...

Hahahahahaha mkuu umenikumbusha mbali sana ya 2005 na 2010.....hahahahahahaha lakini mpaka sasa jamaa yuko fiti
 
Bado mengi tutayajua ,chadema tujipangeni

Mengi yapi utayajua ? Yale Yale ya kuishikwa Akili zenu na Membe au mengi yapi? Hivi ukiujua Uongo unajifunza nini? Je? Wajua Kuwa membe akijua amekulisha Uongo umeumeza na kusadiki kwa kasi pasipo kutafakari hujifariji sana. Kumbuka hayo mengi hayapo ccm tu yapo kila kona hata huko Upinzani siku wakitangaza nia napo wataibuka watu sampuli za akina membe watausambaza Umembe kila kona na Kuwa majanga kote.usishabikie usiyoyajua kwa kiina.
 

Yeye akse kimya lakini wapiga kura ndio tumeshapata taarifa sahihi.
 
2015 CHADEMA inachukua nchi....

Diallo kasema, Mengine hawezi kusema sasa, ANASUBIRI LOWASSA ACHUKUE FOMU. Huyu ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza mwenye ushawishi mkubwa sana. CCM imeficha siri nyingi sana za utafunaji wa hii nchi, kumbe haya makapuni ya mitandao ni mali za mafisadi.
 
nchi hii haiwezi kuongozwa na fisadi naikiwa hivyo mimi narudi kwetu Ukerewe.
Pi hatuwezi kuongozwa na familia moja tena kwa miaka 10, kwa hakika Membe hana lake....akawe rais wa WAMA , mama salma akistafu mwakani
 

Hana nguvu kabisa huyu jamaa msijidanganye mkuu......
 

Akae Kimya tu ale hela, aachane na mambo ya Urais atakufa kwa Pressure buree.
 

Wewe kweli chizi..kama ata hujui mamlaka ya uteuzi na ubadilishaji wa mawaziri ipo kwa nani sijui utajua kipi??bure kabisa..

Kwa kukusaidia mamlaka ya uteuzi wa waziri na naibu wake ni ya Rais mwenyewe akishauriana na Makamu wa Rais na Waziri Mkuu, katu Katibu Mkuu Kiongozi hawezi kumfuta kazi Waziri wala Naibu Waziri.

Kama una mtoto aliye shule ya msingi basi muulize atakufundisha vizuri, jinga wewe..
 
Yeye akse kimya lakini wapiga kura ndio tumeshapata taarifa sahihi.
Kama tulivyopata taarifa ya mama salma kutaka kutuletea Membe, walai kitu kama hicho hakitakaa kitokee duniani eti mke wa rais atuchaguliye president.....never on earth na msahau kabisa
 
..........Namsema EL kwa sababu ni mchafu, na sasa sitayasema yaliyo mazito au machafu zaidi dhidi yake, hadi nitakapoona kweli kachukua fomu kugombea Urais!..........kumbe hii ni rasharasha, masika bado!

Masika kwako na wajinga wachache lakini wajanja ni wengi hata uje na Uongo gani Hakuna atakayekusikiliza wala kukuamini kwani wewe si MUNGU , wewe Kesha buni , tengeneza, zusha, chonganisha fanya kila aina ya Uongo lakini mwisho wa siku Pesa za membe zitakuja kukutokea puani baada ya kufeli kazi aliyokutuma.
 
n
Nawashangaa hawa mabwana na makuwadi wa WAMA. Naona maji yamewafika shingoni. Karam
 
Siamini kama kweli ni Dialo aliyeandika haya, Nimesoma na kuishi kwa muda na wasukuma, ni watu smart sana . Kama ndiye aliyeandika haya amepotoka sana na hana pa kuficha uso wake.
Ni kweli kuu......ila kwa akili za Diallo mimi sishangai ingawa wasukuma ni watulivu na smart kama unavyonena......amefanya hili kwa msukumo wa makundi kumbe hajui anazidi kujichafulia, na mpaka issue zake za ubakaji, mauhaji, na ulawiti sasa tunazisoma humu jamvini.
 
Wote hawa ni ccm!??? Sasa katika mazingira haya wanapata wapi muda kupanga mustakabali wa taifa?

Sawa ni vita ya panzi.... na nadhani yeyote atakayepitia hapa, kusoma gazetini, kusikia redioni au kuambiwa na jamaa yake basi ataona umuhimu wa kuchagua watu au chama kisicho hata na ofisi lakini kina watu waadilifu kuliko chama chenye watu najisi kama ccm.
 
Mh! I always wondered how Rostam and Lowassa got into Vodacom but now I see the connection!!! Aisee Mamvi ni hatari yangu macho! Nilishawahi kusema huyu jamaa hasafishiki labda wamsafishe na bati lakini si maji wala mafuta yatamfaa.
 
n
Nawashangaa hawa mabwana na makuwadi wa WAMA. Naona maji yamewafika shingoni. Karam
hahahahaha wanatapa tapa sana mkuu.....nasikia kule ujerumani walipoenda kufatilia ripori ya afya ya Lowassa wamefukuzwa kama mbwa...hahahahaha nimecheka sana aisee, ndio mambo ya akili ndogo hizi mkuu, wenyewe walifikiri unaweza kupata data kama hizo nchi za ulaya hahahahahaha hawa majamaa wanachekesha sana
 
hii ni kali na kama ni kweli tutaona mengi sana mpaka 2015.Mimi naona wanamwonea lowasa bure tuu na hii ni kwa sababu wanamjua ni mpambanaji mzuri akiingia madarakani itakula kwa wengi,sasa wanaanza kumwogopa.
 
1.Alphatel
2.Alpha Schools
3.Alpha house

Mwaka huu tongotongo zitatutoka sana machoni sababu ya hizi mbio zao
 


Vita ya kuchafuana itamuathiri zaidi Lowassa kuliko yoyote mwingine maana hakuna mchafu kati ya wagombea kuliko Lowassa, Lowassa ni mzizi wa uchafu na ufisadi hapa nchini.
 
Ushauri wa bure kwa wapambe wa Lowassa: Kuleni fedha yake maana ni halali yenu, fedha za kukwapua kwa njia zisizo halali ni haki ya kila mtu kuzitafuna, ila Urais hatopata.Kidumu Ccm.​

Mzee Diallo, tatizo wakishakula hela ya EL wanacheua cheua hovyo na kuhara hovyo mitaani na mitandaoni JF..
 
..........Namsema EL kwa sababu ni mchafu, na sasa sitayasema yaliyo mazito au machafu zaidi dhidi yake, hadi nitakapoona kweli kachukua fomu kugombea Urais!..........kumbe hii ni rasharasha, masika bado!

Hii trailer tu...Lowassa ni mzizi wa uchafu wa kifisadi hapa nchini kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…