kwani yale maandamano ya tarehe 23/12/2011 ya kupinga mfumo kristo yaliishia wapi? labda kwa wale ambao hawaelewi kinachoendelea ningependa nitoe darasa kwa faida ya wengi, ni kwamba tangu Al qaeda account zao nyingi zitaifishwe misikiti imekosa wafadhili, ndio maana wale waliozoea misaada ya waarabu wanatafuta namna yoyote ya matukio ili wapate DVD za kuwatumia wafadhili wa kiarabu ili kuonesha kwamba Uislamu unakandamizwa Tanzania ili wapate kupewa misaada ya kipesa za kugharamia Jihad. huu ndio ukweli wenyewe mengine yote ni porojo.