Dhihaka ya CHADEMA kwa jeshi la police

Dhihaka ya CHADEMA kwa jeshi la police

SALM MAHAMUD

Member
Joined
May 21, 2013
Posts
14
Reaction score
4
[h=5]BABA WA TAIFA MWL JULIUS KAMBARAGE NYERERE ANASEMA KATIKA KITABU CHAKE CHA" TUJISAHIHISHE"UKWELI UNA TABIA MOJA NZURI SANA,HAUJALI MKUBWA WALA MDOGO,HAUJALI ADUI WALA RAFIKI,KWAKE WATU WOTE NI SAWA,PIA UKWELI UNA TABIA YA KUJILIPIZA KISASI KAMA UKIPUUZWA.UKIONA NATAKA KULIPIGA TEKE JIWE KWA KUWA NAFIKIRI NI DONGO AU MPIRA,NATUMAINI UTANIONYA,LAKINI NIKILIPUUZA ONYO LAKO KWA SABABU ETI WEWE NI MDOGO AU KWA SABABU SIKUPENDI ,NIKALIPIGA TEKE,BASI LITANIVUNJA DOLE JAPO NINGEKUWA NANI.UKWELI HAUPENDI KUPUUZWAPUUZWA....

Baada ya Kushindwa tu Dk Slaa alitangaza na CD zipo nchi hii haitatawalika na sasa tunaona Tanzania inakoelekea..kama Serikali mtaendelea kuwachekea CHADEMA Tanzania itakumbana na Mauaji ya Kimbari..Kama nchi inaongozwa kwa mujibu wa katiba Sheria mama kwa nini mnawachekea Chadema? tumieni sheria kuwaadhibu,tumechoka na kuwachekea na kuwabembeleza utadhani wao ndio wenye dola bana.

Ndugu watanzania naomba nitumie fursa hii kuwaeleza ukweli wale wachache wanaokiunga mkono CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO kwamba waweze kutoka huko,huko kuna magaidi,huko kuna ukabila,huko kuna udini,huko kuna kuligawa taifa vipande vipande maana sera zao zimejikita kwenye majimboism nk,hawa ni watu hatari sana,tazameni wanavyofadhili matukio ya kigaidi huko Arusha,wanamwaga damu za watu wasio na hatia kwa manufaa yao binafsi.kwa uelewa wao mfupi wanadhani matukio kama haya ya ugaidi yanaweza kuifanya serikali iliyoko madarakani kushindwa kutawala ili wao waweze kufanikisha mambo yao. nasema imefika wakati muafaka Watanzania wajenge uasi dhidi ya hawa wanasiasa uchwara,wawakatae waziwazi tena mchana kweupe kwani ni hatari taifa letu kupoteza amani na mshikamano kwa sababu ya kundi la watu wachache wasio na nia njema....,MUNGU IBARIKI AFRIKA.MUNGU IBARIKI TANZANIA...AHSANTENI
[/h]
 
Kwa hio mnakubali kuwa nchi haitatawalika? kwa kukubali huko itabidi mkubali pia kuwa nyie ni Dhaifu...., hata kama mtatuua hatutaisha ati tutashinda tu.
 
ww ni zaidi ya takataka, ovyo kabisa lakini si shangai hawa ndio waswahili original kazi umbea hawaoni baya na nzuri wao ni bendera fuata upepo,
SHAME UPON YOU NDIO MAANA MTAKI MASKINI MILELE NA CCM.
UONE HATA AIBU KWA HILI LA KUISHABIKIA CCM



BABA WA TAIFA MWL JULIUS KAMBARAGE NYERERE ANASEMA KATIKA KITABU CHAKE CHA" TUJISAHIHISHE"UKWELI UNA TABIA MOJA NZURI SANA....
 
Nenda Arusha kaitishe mkutano wa hadhara halafu uwaambie haya uliyoyaandika
Baada ya huo mkutano urudi tena hapa JF kutupa habari na matokeo ya huo mkutano
Nani yupo tayari kusikiliza upuuzi huu. Ama unataka akahutubie MAWE ama wabebe wanaCCM toka sijui mkoa gani ndo akawahutubie labda?
 
Huwa nasikitika sana Mtanzania mwenzangu anapokuwa na mawazo kama haya...anatetea serikali hiihii?....Kesho yake akiumwa analalamika kulala chini Mwaisela!

Nafuatilia kinachoendelea Brazil. Zaidi ya watu milioni moja wanaandamana katika miji 100 nchini Brazil dhidi ya serikali.

Kwa mfano, katika jiji la Sao Paulo pekee:

Asilimia 84 ya waandamaji hawaungi mkono chama chochote cha siasa.
Asilimia 77 ya waandamaji wana elimu ya juu.
Asilimia 22 ya waandamaji ni wanafunzi.
Asilimia 23 ya waandamaji wana umri chini ya miaka 25.
Asilimia 71 ya waandamaji wanaandamana kwa mara ya kwanza.

Sababu za kuandamana

Kupinga kuongezeka kwa nauli
Kupinga kuongezeka kwa rushwa
Kupinga polisi kutumia nguvu na kunyanyasa wananchi.
Kutaka usafiri bora kwenye jiji la Sao Paulo.
Kupinga wanasiasa hasa wale wanaondesha siasa za majitaka.
 
Wao waliojitangaza washindi wanaelewa alikua anamaanisha nini, maana nchi haitawaliki kweli, wanauza madawa ya kulevya kama Azam anavyouza unga, wanakwiba fedha za umma kama zao vile, mahospitalini hakuna madawa, deni la taifa linaongezeka, tembo wanakwisha, madini yanaisha, mikataba mibovu kuliko hata ya chifu mangungu inasainiwa, mwenye masikio anaelewa nini maana ya nchi kutotawalika period.
 
Nafuatilia kinachoendelea Brazil. Zaidi ya watu milioni moja wanaandamana katika miji 100 nchini Brazil dhidi ya serikali.

Kwa mfano, katika jiji la Sao Paulo pekee:

Asilimia 84 ya waandamaji hawaungi mkono chama chochote cha siasa.
Asilimia 77 ya waandamaji wana elimu ya juu.
Asilimia 22 ya waandamaji ni wanafunzi.
Asilimia 23 ya waandamaji wana umri chini ya miaka 25.
Asilimia 71 ya waandamaji wanaandamana kwa mara ya kwanza.

Sababu za kuandamana

Kupinga kuongezeka kwa nauli
Kupinga kuongezeka kwa rushwa
Kupinga polisi kutumia nguvu na kunyanyasa wananchi.
Kutaka usafiri bora kwenye jiji la Sao Paulo.
Kupinga wanasiasa hasa wale wanaondesha siasa za majitaka.

hapa bongo wanafunzi wakiandamana wananchi wanawabeza heti wanalipwa pesa za bure za serikali
 
Tumekusoma wahusika watafanyia kazi ushauri wako japo kunawatu nyeusi huwa wanaona nyeupe.
 
hapa bongo wanafunzi wakiandamana wananchi wanawabeza heti wanalipwa pesa za bure za serikali

Wanafunzi wanaandamana tuu pale wanapodai mambo yao.

Brazil wanaandamana kwa maslahi ya kitaifa na siyo kwa maslahi ya kikundi fulani cha watu.
 
hapa bongo wanafunzi wakiandamana wananchi wanawabeza heti wanalipwa pesa za bure za serikali
Mkuu mi nakushauri uhamie barazili na usipende kuchanganya nyanya na vitunguu.
 
Huwa nasikitika sana Mtanzania mwenzangu anapokuwa na mawazo kama haya...anatetea serikali hiihii?....Kesho yake akiumwa analalamika kulala chini Mwaisela!
Kama mwingine anvyokushangaa kupinga serikali hii hii bila hata ya sababu za msingi,anza kujishangaa wewe kwanza ndipo uwashangae na wengine.
 
hapa bongo wanafunzi wakiandamana wananchi wanawabeza heti wanalipwa pesa za bure za serikali
Mkuu tunawabeza kwa kuwa hawana sababu za msingi za kuandamana hawa wa brazili wanasababu za msingi wakwetu wakiandamana ni kudai posho wangeandamana kupinga ufisadi au kupinga kuuwawa kwa tembo wetu au kupinga rushwa au jambo lolote lenye maslahi kwa taifa na si maslahi yao binafsi tungewaunga mkono kwa asilimia 100
 
Hiki chama baada ya kujua kuwa hakikubaliki sehemu nyingine sasa kimehamia kule arusha na wanachofanya sasa ni kutaka kuwajulisha watanzania kwamba bado kipo lakini hiyo sio dawa kitazikwa tu matokeo ya uchaguzi mdogo wa madiwani ni kielelezo tosha.
 
Jana kwenye mazishi ya Bi Judith pale Sokoni One, Mchungaji wa ibada husika alipata kunena yafuatayo:

"Tanzania ya leo sio ya jana, hata yule mpumbavu namba moja anaelewa udhalimu unaocfanywa na serikali hii"
 
Nakukubali kwa uwezo wa ku-cram some good quotable quotes japo nasikitika conclusions zako ni more fanatical than factual!
Hakuna mahali duniani dola iliposhinda vuguvugu la umma uliodhamiria ! Fanya utafiti from colonialism to apartheid, from Ghadafi to Mubarak, from communist Russia to Poland; from Venezuela to Cuba,to Columbia; to Nicaragua; to Zimbabwe and Namibia etc etc; M7 hapa Uganda ni. Zao la vuguvugu la umma uliojitambua japo anaelekea kurudia makosa ya watangulizi wake! Mkongoto haujawahi kushinda determination of a people to overcome bondage, hakuna,Pinda anamfurahisha paymaster wake! Watanzania are no exception; they will triumph, apologists kama wewe mnaokula crumbs za mfumo uliopo will be ashamed!
 
Jana kwenye mazishi ya Bi Judith pale Sokoni One, Mchungaji wa ibada husika alipata kunena yafuatayo:

"Tanzania ya leo sio ya jana, hata yule mpumbavu namba moja anaelewa udhalimu unaocfanywa na serikali hii"

Kuwa mchungaji si kigezo cha kutokuwa mwanasiasa, kama aliongea haya basi alichofanya ni kuhubiri siasa na si injili
 
Unajua ustaarabu ni jambo la bure kama unaona alichoandika hakifai usimtukane na kutaka kila mtu aunge mkono hao magaidi yanayojilipua yenyewe na kutaka coverage, tuachieni arusha yetu jaman kwani hata huko kwingine kama singida kwa lisu, hai kwa mbowe ni majimbo pia why always arusha? Alafu watu wa arusha acheni kutumika dada wa watu amekufa ameacha watoto watatu huku waliopanga iyo plan wanakula bata tu na kuongeza cheap popularity kwa kusapotiwa na wapiga debe wa stand, atakaenitukana anawashwa na he is ready to be ----ed weather mwanamke au mwanaume
 
Back
Top Bottom