Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,980
- 93,977
Kweli tena maana wamesababisha nishindwe kukuuliza maswali ya siri atiii????......lol
Waweza uliza hata hapa...
Kweli tena maana wamesababisha nishindwe kukuuliza maswali ya siri atiii????......lol
Waweza uliza hata hapa...
Weeee!nimehairisha
Mzee Rugemalila;
Uwakumbuke na hawa wengine ambao madame Tiba aliwasahau. Tubilioni tumoja hutafirisikaaa. Na hao wangepiga kelele usilipe VAT. Pia mazingira naona ka kule Bariadi vile. Mzee Vijisenti kale ka juu ya kabilioni, tupia hukoo. Mbona hao watoto wangekuombea maisha marefu