we hujui tofauti ni kuwa pedestrian crossing inasehemu ya kusimama katikati ya barabara alafu ndo unamalizia kuvuka upande wa pili. yaani lanes za barabara zimetengwanishwa. while zebra crossing unavyoanza kuvuka magari ya upande wa pili nayo lazima yasimame.
Duh, hiyo hata mie sikujua.we hujui tofauti ni kuwa pedestrian crossing inasehemu ya kusimama katikati ya barabara alafu ndo unamalizia kuvuka upande wa pili. yaani lanes za barabara zimetengwanishwa. while zebra crossing unavyoanza kuvuka magari ya upande wa pili nayo lazima yasimame.