TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 580
Tumeshuhudia leo jk akikili ya kwamba uchaguzi huu umetoa funzo kubwa kwa ccm na inabidi wakakae chini na kujipanga kwa kuwa hii ni ishara mbaya kwa ccm.yaani toka 82% mwaka 2005 mpaka 61% 2010.na sasa ule usemi wa ushindi wa kishindo hauko tena.wadau nini maana ya asilimia hizi kushuka.Hongera dr slaa kwa kuwanyima usingizi.