tatizo kubwa la waTz hawajawekezwa vichwani mwao (na hii ndo sababu ya kuichukia ccm) na chadema kama ilivyo ccm wanatumia mwanya huo huo wa watu kuwa weupe vichwani kuwalaghai. lakini baya zaidi ni kutumika mtu kama tobo lisu, mtu ambaye anaweza kuishi maisha mazuri hata bila ya chadema, tofauti na watu kama akina mnyika, lema nyasari et al ambao chadema ndo kila kitu. ni aibu kwa kweli.mkuu wangeweka wazi kua ni " STRUGGLE FOR POWER" badala ya kutafuta a very soft and deceiving terminology ya " USALITI" watu wae wawazi wanapoamua kuwa viongozi katika jamii yenye watu wenye uelewa