Dhana ya umri na Wanawake

Dhana ya umri na Wanawake

Salamu wakuu.....

Limeongezeka wimbi la wanawake wenye umri mkubwa kuanzia miaka 30-45 kutokuwa kwenye ndoa au mahusiano ya maana au kutokuwa na mtoto\watoto!!

Hali hii inapelekea hawa Dada zetu kuwa na mawazo na roho mbaya na kutojielewa...

Hasira zote zinatuishia sisi vijana under 25.....
Ivi sisi tumewakosea nini?? Kwanini msideal na wahenga wenzenu??
Sisi mtuache tupumue hatujakimbia mimba zenu wala kuwaharibia maisha.

Mnapokuja na thread zenu za hasira sisi mtuache bado vijana tunatafutaa mtuache kabisaa...
Sahihi kiongozi
 
Tunawaona humu aseeee sisi hatujakimbia mimba za watu ila hasira zote kwetu mnakuwaje aseee
Acha kuniambia ujinga wako, unawaona humu au ndiyo unapotoshwa na posti hizi za mademu acha kufuata mkumbo kijana utapotea.
 
Back
Top Bottom