Dhana ya "kumbemenda mtoto"

Dhana ya "kumbemenda mtoto"

Mimi ninavyofahamu wakati wa ufanyaji wa mapenzi kuna baadhi ya hormone za mwanamke ambazo huwa stimulated na kuzalishwa na kwenda moja kwa moja kupitia kwenye damu na kwenda hadi kwenye maziwa ambazo hizo hormones ndizo huleta madhara kwa mtoto na sio shahawa ambazo huleta madhara. Naomba atoe ufafanuzi kuhusu hormone za mama zikiwa stimulated wakatj wa kufanya mapenzi zinaweza leta madhara kwa mtoto?
kuna haja kweli ya hilo litolewe ufafanuzi
 
Wakuu habarini.

Nina swali dogo naomba wajuvi wanijibu.

Hivi ukitoka na mdada mwenye mtoto mchanga ambaye wewe sio baba unaweza kumwaribu mtoto kiafya (ya mwili na akili)? Ameniambia hivi nikashtuka kidogo, hii practically inawezekana?

Nilishawahi kusikia lakini nikaona ni jambo ambalo halipo kisayansi.
 
Hakuna kitu kama hicho mkuu,,mtoto anaweza kuharibika hata Kama yupo na Baba na mama yake halisi.

Kinachomuharibu mtoto ni maziwa

Mfano mama anawezashika ujauzito,,na maziwa kuharibika bila kujuwa,,
Na kuendelea kunyonyesha maziwa mabovu kwa mtoto.

Hapo ndipo mtoto atakapoanza kuharisha na kurudi nyuma kiafya bila mzazi kujigundua..
 
Hakuna kitu kama hicho mkuu,,mtoto anaweza kuharibika hata Kama yupo na Baba na mama yake halisi.

Kinachomuharibu mtoto ni maziwa

Mfano mama anawezashika ujauzito,,na maziwa kuharibika bila kujuwa,,
Na kuendelea kunyonyesha maziwa mabovu kwa mtoto.

Hapo ndipo mtoto atakapoanza kuharisha na kurudi nyuma kiafya bila mzazi kujigundua..
Samahan mzee,, hv kubemenda mtoto manake nn
 
Muda sio hofu yangu..hofu yangu ni hizo nyege za kuliwa na mtu mwingine mapema ivo na mtoto mdogo wa Mwanaume mwengine.
Sasa zama hizi vijana wengi wanakimbia mimba haawataki majukumu.So sio ishu hapo mwanamke kumpotezea baba mtoto.
 
Mi nishaingia kwenye mahusiano na binti akiwa na mtoto wa siku 46 tu. Na tulikuwa tunagegedana hasa na mtoto alikuwa na afya njema tu.

Kuna mabarmaid huku wanawatoto na wanajiuza kwa mwanaume yeyote na vitoto vinaafya utadhani nivya getikali. Hiyo nistory iliyotungwa kulinda heshima ya mwanamke aliyetoka kuzaa
 
Hakuna cha maziwa,wala mama akibeba mimba maziwa kuharibika hizo ni hadithi za vijiweni,mtoto huharibika akikosa lishe nzuri full stop.
 
Ikoje kwa baba alie fanya mapenzi nje ya ndoa kabla yakukutana na mke wake aliyetoka kujifungua
 
Jamani kubemenda kupo mtoto anabemendwa endapo mama atakua na mahusiano nje na yule mchepuko wake nao unachepuka hovyo pia baba hivyohivyo msilete uzungu mama hata ukioga ukajisafisha Kama unazini hovyo na wanaume tofauti like joto la mwili lazima limuathiri mtoto hata Kama analishe, utashangaa mtoto anaharisha, anapoteza uchangamfu Ana kula hashibi, kanachelewa kutembea anakua Ni mtu wa kukaa sehemu moja nzi wanamjalia na hii hupelekea mpaka kifo usipomuwahi dawa
Sasa jifanyeni wazungu
 
Namaanisha ukifanya na baba wa mtoto kisha ukaenda kunyonyesha bila kuoga
Wazazi hamuezi kubemenda mtoto hata msipooga baada ya kufanya sababu ile Ni damu yenu michepuko ndo inayosababisha mtoto kubemendeka note: mtoto wa kike anabemendwa zaidi na mama namtoto wa kiume anabemendwa zaidi na baba Ila mama akizidisha kutoka nje na watu tofauti ndo anaasilimia kubwa ya kumharibu mtoto zaidi baba kikubwa aoge
 
Haiwezi kudhuru sababu tangu kwenye mimba wananyanduana so mtoto kazaliwa keshazoea joto lao wote wawili
 
Back
Top Bottom