Hapo umejifukuzisha kazi mwenyewe(gross misconduct) tafuta namna nyingine ya kupata kipato, hii inatukumbusha kujiandaa kwa akiba hapo baadae unapopata tatizo
Sababu hata izo Pesa za Nssf unazozitaka hutazipata sasa ivi au mwaka huu,maana kilio chako kikubwa kimeegemea kwenye kukosa pesa ya kulisha familia na sasa hauna so unategemea io ya Nssf
Kampuni za wahindi nyingi zinakuwa na makosa mengi ambapo ukimpata mwanasheria mzuri anaweza kutumia izo loophole Kutengeneza madai juu yao, nafikiri suala lako umelipeleka sehemu sahihi hapo tume ya usuruhishi