APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,003
- 8,480
Ndo maana mi nataka niwe mjasiriamaliHabari wakuu
Naomba mnisaidie mfanyakazi anawezaje kujifukuzisha kazi? Mimi sijaenda kazini siku 10 nilikuwa na matatizo ya kifamilia nilimjulisha msimamizi wangu wa kazi juu ya hili. Cha kushangaza nimerudi kazini HR anasema nimejifukuzisha kazi.
Amekataa nisifanye kazi na amesema hawezi kunipatia chochote kama notice wala barua ya kuniwezesha kufatilia malipo yangu ya NSSF mpaka niandike barua ya kuacha kazi na nimlipe notisi.
Je ni haki? Eti anasema nimeabscond from job hii ipo vipi nisaidieni nimepoteza kazi na sijalipwa chochote