Dhana ya chuma ulete

Mi niliuza kutoka asubuhi saa 1 hadi saa 5 asubuhi, nkaingia kwa droo kuweka ela sawa kuhesabu nna 250,000 tu wakati kwa kukisia nilikaribia laki 4, nilifanya hesabu za haraka kwa wateja niliowauzia nnaowakumbuka nkapata laki 340,
Ni mda ila hadi leo sijapata ufumbuzi, ila now nikiuza nakusanya ela papo hapo, sijui kama inasaidia ila sina namna nyingine ya kufanya
Mkitumia EFD hamtapata maluweluwe, record za receipt na pesa zita match.
Tatizo mnajidai wajanja, halafu mna poteza track ya hesabu mnasema chuma ulete.
 
Mimi nimewahi kupoteza 290000, nilikua natoka home asubuh hela nimeweja kwenye mfuko wa nyuma wa suruali, nimefunga na kufungo cha mfuko. Then nmeingia kwny daladala nikakaa nikiwa naisikia hela bado iko mfukoni maana nilikua nimeikalia sabab ilikua mfuko wa nyuma.

Cha kushangaza nilipitiwa na usingiz wa ajabu nakuja kushtuka niko kwny kituo ninachoshukia. Ile nashuka nmelipa nauli na hela ndogo nliyokua nayo, ile nataka kuondoka kushika kwnye mfuko uliokua na hela hamna kitu.. Mpaka leo sijawah kuelewa ilipoteaje.. Hii ilikua ni Mwanza.
 
Tumia chumvi ya mabonge kumwaga mlangoni na kwenye pembe NNE za chumba... Hakikisha unakuwa umesimama katikati ya chumba... Hii itakusaidia kuleta mvuto kwenye biashara lakini pia kukukinga na ishu kama hizo
Unafanyaje kuifikisha hiyo chumvi ya mabonge kwenye hizo pembe za nyumba ukiwa umesimama katikati ya chumba?!

Unarusha, au ndio yale masharti magumu halafu mgonjwa anaambiwa ka fail yeye kuwafuata masharti?!

Kwanini asiipeleke kwenye hizo kona kama lengo ni chumvi kuwa kwenye kona?!

Na hii hufanya chumba kimoja au nyumba nzima?!

Je, inaweza kuwekwa kwenye kona za nje ya nyumba, maana ni chache na ni convenient kwa usafi kuliko kumwaga chumvi ndani?! Au hili ni kwa nyumba zenye sakafu ya udongo?!

Mwisho, how does it work?!

Tupe mechanism yake huko konani na sio popote ndani au nje?!

Na kwanini ya mabonge na sio laini?!
 
Mimi nimewahi kupoteza 290000, nilikua natoka home asubuh hela nimeweja kwenye mfuko wa nyuma wa suruali, nimefunga na kufungo cha mfuko. Then nmeingia kwny daladala nikakaa nikiwa naisikia hela bado iko mfukoni maana nilikua nimeikalia sabab ilikua mfuko wa nyuma. Cha kushangaza nilipitiwa na usingiz wa ajabu nakuja kushtuka niko kwny kituo ninachoshukia. Ile nashuka nmelipa nauli na hela ndogo nliyokua nayo, ile nataka kuondoka kushika kwnye mfuko uliokua na hela hamna kitu.. Mpaka leo sijawah kuelewa ilipoteaje.. Hii ilikua ni Mwanza.
Hizo Makonda wanaiba sana mlangoni, pale una banana tu anachomoa, niliwahi mkamata konda mkono kituo cha Muhimbili zamani sana, lakini naye nilimvuruga sana.

Na haikuwa pesa nyingi kipindi hicho ilikuwa kama elfu tano tu, lakini alijuta na sikuwahi muona tena pale kituoni.
Hapa sio dawa, ni timing tu.
 
Chumvi generally haina masharti mengi lakini kuna special cases inabidi ufanye hivyo kutokea katikati ya chumba.. Hurushi bali unaenda kwenye kila kona ila ni lazima uazie kati...
Unafanyaje kuifikisha hiyo chumvi ya mabonge kwenye hizo pembe za nyumba ukiwa umesimama katikati ya chumba?!

Unarusha, au ndio yale masharti magumu halafu mgonjwa anaambiwa ka fail yeye kuwafuata masharti?!

Kwanini asiipeleke kwenye hizo kona kama lengo ni chumvi kuwa kwenye kona?!

Na hii hufanya chumba kimoja au nyumba nzima?!

Je, inaweza kuwekwa kwenye kona za nje ya nyumba, maana ni chache na ni convenient kwa usafi kuliko kumwaga chumvi ndani?! Au hili ni kwa nyumba zenye sakafu ya udongo?!

Mwisho, how does it work?!

Tupe mechanism yake huko konani na sio popote ndani au nje?!

Na kwanini ya mabonge na sio laini?!
Chumvi unaweza pia kuizungusha nje ama ndani ya nyumba ama ukaweka kwenye pembe tuu... Hayo masharti si misingi basli ni added value tu
Chumvi kiasili inakinga na kutibu..nitaomba nirejeee kwa kutulia
 
Chumvi generally haina masharti mengi lakini kuna special cases inabidi ufanye hivyo kutokea katikati ya chumba.. Hurushi bali unaenda kwenye kila kona ila ni lazima uazie kati... Chumvi unaweza pia kuizungusha nje ama ndani ya nyumba ama ukaweka kwenye pembe tuu... Hayo masharti si misingi basli ni added value tu
Chumvi kiasili inakinga na kutibu..nitaomba nirejeee kwa kutulia
Nasubil apa
 
Habari ya wakati huu wana JF?!

Niende straight kwenye mada kama nilivyoitambulisha hapo juu. Leo nikiwa dukani baada ya kuhudumia wateja kadhaa. Nilitoka kidogo nikafunga gril la kuingia dukani lakini milango ya get ikiwa wazi. Nje kuna mdada (dada lishe). Kabla sijatoka kati ya wateja niliowahudumia alihitaji chench ya 100,000 nikachomoa toka kwenye kibunda changu cha Tigo pesa.

Baada ya kurudi nilihitaji kutoa chench tena. Naangalia nilipohifadhi ile pesa sikuiona. Na mimi nakumbuka niliiweka hapo. Sasa nimeanza kuhisi CHUMA ULETE japo sijawahi kuwa na iman hizo. Lakini eneo nililopo inasemekana mambo hayo ni kawaida sana.

Sasa naomba wataalamu wa haya mambo na waliowahi pitia hii changamoto (chuma ulete) watoe ufafanuzi kwamba ni kweli inatokea, kwa namna gani? Njia ya kushinda hicho kiini macho na kinga yake. Japo (almight God is everythng).

Note: Nimepoteza 150,000. Kiajabu-ajabu moyo unauma vibaya mno. Natamani ningejua namna haya ya kuirudisha. Naombeni msaada hapo wadau.


Asanteni
Chenji ya 100,000?
 
Mimi nimewahi kupoteza 290000, nilikua natoka home asubuh hela nimeweja kwenye mfuko wa nyuma wa suruali, nimefunga na kufungo cha mfuko. Then nmeingia kwny daladala nikakaa nikiwa naisikia hela bado iko mfukoni maana nilikua nimeikalia sabab ilikua mfuko wa nyuma. Cha kushangaza nilipitiwa na usingiz wa ajabu nakuja kushtuka niko kwny kituo ninachoshukia. Ile nashuka nmelipa nauli na hela ndogo nliyokua nayo, ile nataka kuondoka kushika kwnye mfuko uliokua na hela hamna kitu.. Mpaka leo sijawah kuelewa ilipoteaje.. Hii ilikua ni Mwanza.

dah kumbe miujiza ipo. Pole sana mkuu
 
Kuna mbibi alikuja dukani kununua pipi na mia yake hajawai kuja wala nini anapitaga tuu mbele ya duka mara nyingi nikiwepo mm sasa jmosi ndo nashangaa anakuja na mm nilikuwepo eti anaomba pipi na nilimuona duka lingine pembeni ametoka hapo. Ile mia sikuichanganya kabisa nilikuja kumrudishia mtu. Sijui ni uoga au haya mambo yapo

Maisha bhana sasa siombe kuliko kutumia njia hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom