Saint Anno II
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 4,238
- 14,713
Mbona leo yupo Mkristo katikati ya Waislam wanakula na kufurahia chai zao,kahawa wengine wanakunywa supu lakini hakuna mwenye shida na hilo siyo mfungaji wala waliokuwa hawajafunga?labda kwa sababu hajawaambia kama amefunga?Ebu chukulia wewe Numbisa let's say upo na wapangaji wenzako karibia wote wamefunga je itakuwa Busara ukiwa nao barazani mnabadilishana mawili matatu basi ukawa na msosi wako unakula mbele yao je ni Sawa?
Haya mambo ni utu tu uzingatiwe,wewe uliyefunga acha asiyefunga afanye yake maana mwisho kila mtu ana hukumu yake tatizo ni pale baadhi ya watu wanapoanza kujiona wao ni muhimu zaidi ya wengine kutaka kuingiza itikadi zao kwenye maisha ya watu wasiofanana nao.