CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 7,617
- 16,714
Mungu anasema Ole wake augeuzaye usiku na kuwa Mchana
Mudi kaoa kitoto Cha miaka sita
Mungu anasema Ole wake augeuzaye usiku na kuwa Mchana
Okay Kwa timetable hii INA maana watakuwa wamecheki Hali ya anga ikoje na kujua kuzama Kwa jua kunakuwajeJaribu kupitia hii time table ya wa sweden ya mwaka huu ya kufunga
Na kwa wale wasio weza hua wanatumia muda wa saa za Saudi Arabia
View attachment 2527489
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa uliongelea tunaabudu jua na ramadhani, nikakutaka ulete andiko unakuja na habar zenu za kila siku!Jua linazama kwenye MATOPE.
Haustahili hata kujibiwa chochoteMudi kaoa kitoto Cha miaka sita
Mngefanyeje Kwa mfano chiefWafunge wao, wakikuona unakula wanakuja na fimbo. Bado tupo enzi za utumwa.
Ingekuwa ndiyo wanafanya huku bara mbona pangekuwa hapatoshi.
Yes na hata ukitazama vizuri bado watakua wanakula daku na kufuturu kwa muda husika kama nchi nyingine tu isipokua saa ndio zinatofautiana na ndio maana muda wa iftar na daku havikosani sana kwa miji yoteOkay Kwa timetable hii INA maana watakuwa wamecheki Hali ya anga ikoje na kujua kuzama Kwa jua kunakuwaje
vitu vizuri Duniani vipo vingi, ila vichache ni ivi.common sense inanileta kuelewa kuwa daku ni kujiandaa masaa mengi kuhimili njaa! Unakula /inakunywa saa kumi hayo maji/uji ili ikusaidie kufika saa 12 , maana si rahisi/ni mateso kuhimili njaa,, kiu etc kwa saa zaisi ya 12 kesho yake.
Hivi tabu yote ya nini? Unatafuta nini? Bada? Kwani lazima ujitese? Ili iweje? Kuingia mbinguni? Who knows kama kuna Mungu? IMANI, IMANI IMANI
Yes na hata ukitazama vizuri bado watakua wanakula daku na kufuturu kwa muda husika kama nchi nyingine tu isipokua saa ndio zinatofautiana na ndio maana muda wa iftar na daku havikosani sana kwa miji yote
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umenikuta nje nakula zangu msosi. Unanivamia na viboko kwasababu wewe umefunga. Hapo nyie wote ni vibaka tayari.Mngefanyeje Kwa mfano chief
💪💪vitu vizuri Duniani vipo vingi, ila vichache ni ivi.
1. Nidhamu_ kuwa sawa kiuhalisia na kuepuka makosa ya kawaida yanayokwepeka. mfano mtu kafunga yeye na wewe hupati madhara. kukaa kimya si dhambi.
2. Heshima_ kuwathamini wengine kwenye hisia zako. jichukulie wewe na yule au uyu.
3. Ujuzi_ utambuzi wa mambo na kufanya manbo kiufanisi.
# Mungu tubariki sana kizazi hiki.
Sawa mohaamad ni mwanume yule vipi Yesu kaoa mwanamke yoyote au ndio sio ....Mudi kaoa kitoto Cha miaka sita
Kwa hiyo nyinyi hamulagi usikuMungu anasema Ole wake augeuzaye usiku na kuwa Mchana
... kuna mwamba hapo kasema sometimes wale wa far north ambako baadhi ya misimu Jua linakua on masaa mengi huwa wanatumia muda wa Saudi Arabia kuwa-guide muda wa kufunga, kufuturu, na kula daku hata kama Jua linawaka. That's another school of thought, nimeelewa.Chief
Mapambazuko na machweo ya jua ndio tool pekee inayoongoza ibada ya funga katika Imani ya kiislamu, kama ambavyo baadhi ya maeneo mengine hufunga masaa machache kutokana na mazingira.
Nakumbuka kuna mwamba mmoja sijui alikuwa inchi gani vile wao wakiswali Isha Ile swala ya usiku basi wanakaa kidogo msikitini kusubiria Sala ya alfajiri,kuna majira Fulani ambayo hukutana na Hali hiyo.
Kwahiyo tukirudi kwako najua kuna misimu huko hufunga masaa 22 kama unavyosema na misimu mingine ni less than that ndio majaliwa ya mazingira yenu Hamna budi kwenda nayo Sawa.
Huo utaratibu wa kucharazana viboko umeuona kwenye Qur'an au umeupata wapi? Hakuna Mambo ya namna hio kwenye kitabu chetu labda jamii yenu hukoMkuu kule nilimuambia mdau aniletee ushahidi wa umiliki wa neno daku na futari kwa dini aliyokua anaishabikia. Maana povu lilimtoka kuwa kachokozwa.
Sasa kama mnakula daku mida hio ya usiku inamaanisha asubuh na mchana hamtakuwa na njaa iweje baadhi ya maeneo mnapiga marufuku watu kula na kufanya biashara ya chakula kuwa mtatamanishwa wakati mnakua mmeshiba?
Inakuaje mnamcharaza mtu viboko huku mkimuita kobe wakati ni maamuzi yake kula,kwann funga iwe lazima?
Hata kwangu Mimi hili ni jipya lkn ndio mambo ya elimu hayo... kuna mwamba hapo kasema sometimes wale wa far north ambako baadhi ya misimu Jua linakua on masaa mengi huwa wanatumia muda wa Saudi Arabia kuwa-guide muda wa kufunga, kufuturu, na kula daku hata kama Jua linawaka. That's another school of thought, nimeelewa.
Huo utaratibu wa kucharazana viboko umeuona kwenye Qur'an au umeupata wapi? Hakuna Mambo ya namna hio kwenye kitabu chetu labda jamii yenu huko
Chief kama ulivyosema ukitoka nje ya mstari nikuweke Sawa,naona hapa sio Sawa kidogo.Sawa mohaamad ni mwanume yule vipi Yesu kaoa mwanamke yoyote au ndio sio ....
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na ishara kuu ilionekana mbinguni; mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake, na juu ya kichwa chake taji ya nyota kumi na mbili.Jua linazama kwenye MATOPE.
Kuna maeneo ya north kule jua lina chuka karibu saa 22 hivyo karibu siku nzima kuna watu uwezo wa kufunga kufikia hivyo hawana wao wamepewa udhuru huo lakin si kwamba ndio kwa wote wa miji hiyo wafanye hivyoHata kwangu Mimi hili ni jipya lkn ndio mambo ya elimu hayo
Asante chief Kwa elimu hii hakika nimepata faida kubwaKuna maeneo ya north kule jua lina chuka karibu saa 22 hivyo karibu siku nzima kuna watu uwezo wa kufunga kufikia hivyo hawana wao wamepewa udhuru huo lakin si kwamba ndio kwa wote wa miji hiyo wafanye hivyo
Mfano 2013 katika mji wa LULEA ilitokea hiyo na ilikua mwezi 7 na kiukweli katika mwezi 6 na 7 wa mwaka katika miji hiyo ndio hali hua hivyo
Hata miji ya uturuki nayo hua wanawahi kidogo kufungua kama majira yatabadilika
Nadhani hapo kidogo utakua umenipata
Ila si kwamba kila ramadhani hapana ni baadhi ya ramadhani katika miaka baadhi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app