MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 951
- 358
Hizi mada za mara mfumo kristo mara mafumo islamu havitusadii kitu. Ni kama ushindani usiokuwa na maana na mwisho wake hakuna mshindi isipokuwa pande zote kubaki na maumivu tu. Tuangalie mambo ambayo yanaweza kutuunganisha zaidi kuliko kuangalia mambo yanayotugawa. Kwa sasa tungekazania katiba.
Mfumo islam look somalia.angalia N.sudan wanavyo watesa south waislam mna asil ya Ubaguzi tena ule mbaya sana,kwa taarifa yenu muslim wil never conqurer this world by any means. Endeleeni kujilipua ,kuamini mapepo,kuoa vitoto,na lile neno la "kiyama"mko kwenye kiyama chenu wenyewe hapa duniani sajawahi ona imani inayoeleza uongo kama muslim .mna vurugu za maono sana.
hizi mada za mara mfumo kristo mara mafumo islamu havitusadii kitu. Ni kama ushindani usiokuwa na maana na mwisho wake hakuna mshindi isipokuwa pande zote kubaki na maumivu tu. Tuangalie mambo ambayo yanaweza kutuunganisha zaidi kuliko kuangalia mambo yanayotugawa. Kwa sasa tungekazania katiba.
Nasikia mkuu ulikuwa muongozaji wa kwaya kanisani...!1. Propaganda za waislamu kuwa kuna mfumo kristo ni unafiki na upotoshaji mkubwa
2. Tanzania tuna mfumo islamu proof yake ni uongozi wa nchi kushikiliwa na waislamu (rais, makamu wa rais-muungano), visiwani viongozi wa ngazi za juu wote waislamu.......ni ukweli hamna longolongo
3. Mfumo islamu uliishashindwa, proof yake ni maandamano ya kuwang'oa viongozi wao kote ktk nchi za kiarabu.........
---watu wengi wanaamini kuwa dunia bila uislamu eti ingekuwa sayari salama sana pa kuishi
kuna mtu anataka mfumo islamu uendelee?
Hizo zote ni porojo..lkn at the end mtakuja agree kuwa uislamu ndo dini sahihi
kikwete
said mwema
bilal
mwantumu
jaji mkuu
radio al nuur ..
huu ndio mfumo kristo?
wat else you want....
Plse try 2 deal with issues and not personalities.kikwete said mwema bilal mwantumu jaji mkuu radio al nuur .. huu ndio mfumo kristo? wat else you want....
JUMAPILI HII Maelfu ya WAISLAM wamekutana katika ukumbi wa Diamond Jubilee na kuazimia namna nzuri ya kujitatulia matatizo yao yanayosababishwa na walichokiita "mfumo kristo".
Mada kuu ilikuwa ni kuzindua kitabu (cover and some pages attached) kinachotoa ushahidi wa madai yao na Pia wamechukua maazimio ya kujitatulia shida zao kwa njia iliyo nzuuuuuuuuri.
tukipata soft copy ya kitabu chote tutawarushia ma thinker wa jamii forums mkichambue.