Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,683
- 272,542
Maandiko matakatifu yameweka wazi ukubwa wa dhambi ya usaliti na kwamba laana yake inatafuna mpaka kizazi cha 4 , tena bila ya kujali cheo cha Mhusika.
Hamad Rashid ambaye "alihongwa" vyeo baada ya " kuuza mechi " sasa ni dhahiri vyeo alivyohongwa vimeanza kumtokea puani , ametajwa kwenye ripoti ya Ndugai imemtaja kuliingizia Taifa hasara kubwa mno
Hamad Rashid ambaye "alihongwa" vyeo baada ya " kuuza mechi " sasa ni dhahiri vyeo alivyohongwa vimeanza kumtokea puani , ametajwa kwenye ripoti ya Ndugai imemtaja kuliingizia Taifa hasara kubwa mno