Nimejibatia mke mwemaAmeniii km mm Nina wivuuu wakupenda tu lkn, mi si mchoyo wala mroho
Sijasema hivyo....
Ooooh wow hongera sana umempata humu humu au??? Tutambulishane jmnNimejibatia mke mwema
Kabla ya kuuliza hivyo je ni kweli ama si kweli?
Dhambi saba hatari, well said. Ila kiufupi ni usubject wako ndio umeziona hizo. Maandiko yanasema "IWENI NA HASIRA ILA MSITENDE DHAMBI, WALA JUA LISICHWE............."
Astaghafilullah! Hiyo mbaya kwelikweli! Ni kama kilema fulani hivi.Vip ile ya kutafuna 0713...kumbe haina uzito
Usiyatafsiri maandiko kwa mstari mmoja mmoja utapotoka na kukosa elimu pana inayopatikana huko![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Dhambi saba hatari, well said. Ila kiufupi ni usubject wako ndio umeziona hizo. Maandiko yanasema "IWENI NA HASIRA ILA MSITENDE DHAMBI, WALA JUA LISICHWE............."