Dhambi saba mbaya zaidi

Dhambi saba mbaya zaidi

Kiburi (pride)
Mi naiona kuwa ni chanzo cha dhambi zote.
Mtu mwenye kiburi ni wa kuogopwa sana.
Kwanza hamtii Mwenyezi Mungu.
Utasikia anasema kwa kujitutumua

"Hakuna Mungu"
hapo yeye anajiona kama Mungu.

Huyo hawezi kutii sheria na amri zote za Mungu maana anamdharau Mungu mwenyewe.
Hawezi kumpenda jirani,
Anajiona anajua kila kitu
Hataki kufundishwa
Hawezi kujishusha

Hapo dhambi zote atazifanya kwani hamwogopi wala kumheshimu yoyote yule. Iwe Serikali jirani au Mungu.

Kilichomponza Shetani Lucifer ni KIBURI.
Nilibahatika kumsikiliza siku moja, alipoulizwa,

" Kwanini ulifukuzwa Mbinguni ? "

Akajibu kwa Kiingereza

" Because of Pride"
I was very proud of myself, I really regreat it.

Profesa mshana jr,
katika utafiti wangu, dhambi ya KIBURI ndio muasisi wa dhambi zote.

KIBURI
 
Tunaendelea na ufunuo wa siri ya namba saba...kwenye mwendelezo huo wa siri ya namba saba leo hebu tujadili hizi dhambi saba ambazo ndio kama mizizi saba ya dhambi zote za ulimwengu huu...kwamba kupitia hizi ndio zao la madhambi yote unayojua na kuyafahamu hapa duniani

Kwa mshangao wa wengi dhambi nyingi unazowaza si kati ya hizo saba.. Hebu tuzipitie moja baada ya nyingine

1. Tamaa(lust) tamaa hii ni ile ya utamanifu wa kimwili, na kutaka kuitosheleza nafsi iwe kingono, na tamaa nyingine zote za nafsini na hisia za kimwili

2. Uroho(gluttony) uroho ni sehemu ya tamaa, lakini hapa ni kwenye kumiliki na kutawala zaidi..dhambi nyingi za uchawi na mauaji zimetokana na uroho

3. Choyo(greed)ukiangalia mfuatano huu utagundua kitu cha kushangaza mno, uchoyo ni tunda la uroho.,MTU mroho daima ni mchoyo .. Uroho na uchoyo haviachani

4.Wivu(envy)mtiririko ni uleule ,MTU mwenye wivu ni mchoyo ni mroho pia ana tamaa

5. Ghadhabu(wrath) hapa tumepoteza watu wengi na hata kugombana kutokana na ghadhabu za mmoja ama wengi..sababu kubwa zikiwa ni wivu choyo tamaa nk..

6. Uvivu(sloth)..kama ulikuwa hujui uvivu pia ni dhambi... Na matokeo ya dhambi hii ni kutaka kupata na kustarehe bila kutoka jasho hapa wizi utapeli udanganyifu vimefanyika sana

7. Kiburi(pride) unaweza pia kuita majivuno..kwamba Mimi ni mimi na hakuna zaidi yangu mimi...matatizo mengi yametokea kwenye jamii kutokana na kiburi na kujiona bora kuliko wengine (hata JF tunao)hii ni dhambi ya kunajisi uumbaji na kumkataa Mungu ama la kumkosoa.nknk

Hizi ndio dhambi saba kuu ...najua hakuna mkamilifu kati yetu na wote tunashiriki dhambi hizi kwa njia moja ama nyingine...na wote tunajijua udhaifu wetu ulipo ila kwa kiburi na unafiki wetu huwa tunajivika koti jeupe kuficha uchafu uliomo ndani yetu

Mungu ibariki Tanzania na wanyonge wake...!!!

Mkuu HAYA ULIO YAANDIKA YAMETOKA KATIKA KITABU KITAKATIFU????
KWA MTAZAMO WAKO???
MANAKE SIYAAMINI MACHO YANGU KUYASOMA
KWA MFANO NAMBA.4 KUA. NA WIVU NI DHAMBI!!!!! DAAAHHH UNAENDA KINYUME BROO
NAOMBA UNIFAFANULIE. HIZO DHAMBI 7 kama umetpa ktk maandiko tupe ufunuo huo

DHAMBI YA KWANZA DUNIANI NI KUMSHIRIKISHA MWENYEZI MUNGU
vitabu vyooote vinasema
Hivyo,,cha kustaajabisha ktk hizo Dhambi 7 ulizozitaja hio MAIN THING hujaitaja
KIBURI(QIBRI) hio pia ni dhambi yenye darja kubwa saana kua na kiburi ni sawana kuvaa vazi la mwenyezi Mungu lkn cha ajabu ndio umeitaja ni ya 7
UVIVU sio dhambi MKUU
Usihukumu kitu ambacho hakijahukumiwa wala hatupaswi kuharamisha
Kitu ambacho hakija haramishw
Ghadhabu pia
Mshana nisichambue zaidi hii inaonekana ni kama ujumbe umeitoa ktl fikra zako kumtumia mtu lkn ktk maandiko hayapo
 
Mkuu HAYA ULIO YAANDIKA YAMETOKA KATIKA KITABU KITAKATIFU????
KWA MTAZAMO WAKO???
MANAKE SIYAAMINI MACHO YANGU KUYASOMA
KWA MFANO NAMBA.4 KUA. NA WIVU NI DHAMBI!!!!! DAAAHHH UNAENDA KINYUME BROO
NAOMBA UNIFAFANULIE. HIZO DHAMBI 7 kama umetpa ktk maandiko tupe ufunuo huo

DHAMBI YA KWANZA DUNIANI NI KUMSHIRIKISHA MWENYEZI MUNGU
vitabu vyooote vinasema
Hivyo,,cha kustaajabisha ktk hizo Dhambi 7 ulizozitaja hio MAIN THING hujaitaja
KIBURI(QIBRI) hio pia ni dhambi yenye darja kubwa saana kua na kiburi ni sawana kuvaa vazi la mwenyezi Mungu lkn cha ajabu ndio umeitaja ni ya 7
UVIVU sio dhambi MKUU
Usihukumu kitu ambacho hakijahukumiwa wala hatupaswi kuharamisha
Kitu ambacho hakija haramishw
Ghadhabu pia
Mshana nisichambue zaidi hii inaonekana ni kama ujumbe umeitoa ktl fikra zako kumtumia mtu lkn ktk maandiko hayapo
Good morning na asante kwa mchango mzuri, ila naomba uzingatie para mbili za mwanzoni mwa post... Wewe unastick kwenye maandiko ni sahihi kabisa ila mimi nimeandika universally katika ujumla wake
 
Mkuu HAYA ULIO YAANDIKA YAMETOKA KATIKA KITABU KITAKATIFU????
KWA MTAZAMO WAKO???
MANAKE SIYAAMINI MACHO YANGU KUYASOMA
KWA MFANO NAMBA.4 KUA. NA WIVU NI DHAMBI!!!!! DAAAHHH UNAENDA KINYUME BROO
NAOMBA UNIFAFANULIE. HIZO DHAMBI 7 kama umetpa ktk maandiko tupe ufunuo huo

DHAMBI YA KWANZA DUNIANI NI KUMSHIRIKISHA MWENYEZI MUNGU
vitabu vyooote vinasema
Hivyo,,cha kustaajabisha ktk hizo Dhambi 7 ulizozitaja hio MAIN THING hujaitaja
KIBURI(QIBRI) hio pia ni dhambi yenye darja kubwa saana kua na kiburi ni sawana kuvaa vazi la mwenyezi Mungu lkn cha ajabu ndio umeitaja ni ya 7
UVIVU sio dhambi MKUU
Usihukumu kitu ambacho hakijahukumiwa wala hatupaswi kuharamisha
Kitu ambacho hakija haramishw
Ghadhabu pia
Mshana nisichambue zaidi hii inaonekana ni kama ujumbe umeitoa ktl fikra zako kumtumia mtu lkn ktk maandiko hayapo
Asante sana naona mchango hauna tofauti sana na mchango wa stickvibration.... Naomba upitie na reply yangu kwake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom